FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
pesa nliopata sio ya biashara
Umeiba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pesa nliopata sio ya biashara
hahaha hapana cjaiba ni pesa halali kabisa ni kama udalali flan hv nlifanya mkuuUmeiba?
Udalali ni biashara pia, endelea na bishara hiyohiyo.hahaha hapana cjaiba ni pesa halali kabisa ni kama udalali flan hv nlifanya mkuu
hahahha hapana ilitokea tu sio mishe zangu hzoUdalali ni biashara pia, endelea na bishara hiyohiyo.
ana 15mil......unasema ajenge nyumba?....jenga nyumba kisha uza blv me itakufikisha mbali
Dili la moto hilo. Zama hizi huwezi tu kuzifumania milioni 15 halafu unasema hujui cha kuzifanyia sasa cha kumuuliza kazipata wapi hizo milioni 15 kwa akili ambayo haiwezi kufikiria kuhusu biashara ya kufanya kama sio kuna sehemu mtu kabigwa tayari au ndo mgao wa dola 40000 zilizoibwa mikocheni juzi..😀😀😀Fanya biashara hiyohiyo uliyonasia million 15.
Chambo kizuri utawavua wengi. Usikate tamaa.
Kuwa makini maisha magumu watakupiga vibaya wenginendio nipo serious nahitaj uzoefu wa wazoefu mkuu
Hapo tu ndo nachokaga,hivi serikali inategemea unaingiza faida ya sh ngapi kwa matumizi yote hayo na bado mtaji usimame na usave faida sh ngpi,ili ukuwe na ustawi zaidi hii serikali bwana wanyonyaji sanaBiashara zingine changamoto ni nyingi sana mfano TRA, fire, kodi, ulinzi, umeme, wafanyakazi, ushuru wa Halmashauri n.k
Biashara ganiUngekuwa dar tungeingia ubia Wa biashara ambayo imenishinda kuendeleza
Ufugaji!!!? Waulize waliofuga kuku Wa nyama wanalia solo hakuna.Biashara kwa kipindi hiki ni ngumu sana, bora mazao au ufugaji kidogo zina nafuu
Kaka ana milioni 15. Sasa unamshauri biashara ya milioni 55 na kuweka akiba!fungua duka la vitu vya jumla soda bia unga wa ugali na ngano na vikookoro vidogo vidogo inaweza ikachukua kama milion 55 nyingine weka benk maisha yanakwenda
dahhh type error ni ml 5 na s ml 55 very soryKaka ana milioni 15. Sasa unamshauri biashara ya milioni 55 na kuweka akiba!
Halafu nyumba ya mil 15!dah ni nzur saana iyo idea but nahisi kulipa ni baada ya muda mrefu