Ni biashara gani nzuri ya kufanya kwa mtaji wa milioni 15?

Ni biashara gani nzuri ya kufanya kwa mtaji wa milioni 15?

habari wakuu!
katika mitego yangu ya hapa na pale nmenasa mkwanja kama mil 15 na laki saba lakini sina uzoefu na biashara! naombeni mawazo nifanye biashara gani ambayo inaweza nitoa
nipo sumbawanga wakuu!
We fixed account million 10.

Million Tano tafuta semina na short courses jifunze elimu biashara..

Maaana ukianza straight away uta feli kwanza
 
Mkuu toka huko shimoni uliko njoo jiji la kitajiri (Dar es salaam)

Ukifika nishtue nikupeleke sehemu inaitwa le grand casino..

Amini usiamini ukibet hiyo milion 15 na hiyo ni kwausiku mmoja tu unaondoka na milioni 150 yaani hiyo ni per night...

Usijaribu kuingia biashara yeyote now hata ya chakula ( watu siku hizi hawali kivile wanashindia Karanga za kuchemsha) magu kabana kila kona!

For further info's nipm utoke....
 
Karibu uwekeze kwetu kwenye biashara ya cement tukubaliane faida au jointventure
 
Mkuu hizi pesa umezipata kwenye kubet??? Maana hizi huwaga zina mashetani[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
  • Thanks
Reactions: MC7
jenga nyumba kisha uza blv me itakufikisha mbali
Unasema? Ananunua kiwanja kisha anajenga kisha anauza? Msingi million 15. 7 ? Kweli mdau au unamtania mshkaji?
Na anamuuzia nani wakatinhcnyumba zimewadodea.... Tuweni makini na hizi shauri tunazowapatia wenzetu la sivyo tunaweza kuwatia uchizi wa uzeeni.
 
Milioni tano 5 unajenga nyumba uswahilini,
Jenga nyumba 3 za hali ya chini mixer fremu....uswazi
Kwahiyo uswazi cement mfuko sh 1500 au? Huo uwanja uswazi unagawiwa buree sababu mjomba anamiliki ekati 500? Hivi uswazi bati linauzwa jero?
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Weka FIXED ACCOUNT 10m

Halafu hiyo 5m ndio ufanyie biashara. Tena usiingize yote
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Na hii aina changamoto za magu inapanda inashuka ila wewe uadhiliki Nina maana yangu ni hivyo anaekuja pm mwenye nia tu maana nimechoka kuojiwa .na wadodosaji lakini sio watendaji waoga wamezoea kuiga biashara bila kujua chanzo na sababu na kujistamini tusiwe waoga ukizingatia mimi najua changamoto zote na ninaweza kuzikabili sababu mimi mzoefu .
Weka simple breakdown ya hiyo biashara... Say mukiwa na capital ya kiasi gani mutarajie profit kiasi gani na kwa muda gani... Unapokataa maswali unakosea maana hapo watu wanaongelea pesa na sio maji useme yakimwagika utachota mengine mtoni au baharini.... Pesa hiyo ujuwe ikikata maisha ya mtu yanabadilika ikiwamo kifo pia maana wengine tunataka kuwekeza viinua migongo ujuwe.
 
Unasema? Ananunua kiwanja kisha anajenga kisha anauza? Msingi million 15. 7 ? Kweli mdau au unamtania mshkaji?
Na anamuuzia nani wakatinhcnyumba zimewadodea.... Tuweni makini na hizi shauri tunazowapatia wenzetu la sivyo tunaweza kuwatia uchizi wa uzeeni.
Najenga nyumba now, kuifikisha kwenye lenta ni 5.3M
Hapo ni nyumba ya vyumba 3, 2 self contained. Jiko, stoo, public toilet, sitting room.
Na ni Dar es salaam.

Labda kama mshamba upate mafundi wakugonge
 
Najenga nyumba now, kuifikisha kwenye lenta ni 5.3M
Hapo ni nyumba ya vyumba 3, 2 self contained. Jiko, stoo, public toilet, sitting room.
Na ni Dar es salaam.

Labda kama mshamba upate mafundi wakugonge
Huo uwanja umeununua sh ngapi? Paa utaweka nyasi au bati na bati umeandaa sh ngapi?
Milango madirisha plaster gypsum ceiling skiming rangi floor tiles vuoo na plumbing mashimo ya vyoo umeme?

Weka makadirio ya bei ya hivyo vitu tujuwe thamani ya ujenzi huko uswazi....
 
Back
Top Bottom