Ni biashara gani nzuri ya kufanya kwa mtaji wa milioni 15?

Ni biashara gani nzuri ya kufanya kwa mtaji wa milioni 15?

Fuga nyuki,asali inalipa sana na hakuna kupasua kichwa,wasiliana na idara ya misitu na nyuki wakupe ushauri
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Fungua duka la nafaka...wanokuita uwa Pm kuwa makini nao mana tapeli sana jitu ya muji aiseeee
 
Fanya Biashara ya Mkaa wa Jumla,kuchukua poroni na kuleta mjini ila changamoto zake ni watu wa Maliasili(Tafuta vibali) utapata faida.
 
habari wakuu!
katika mitego yangu ya hapa na pale nmenasa mkwanja kama mil 15 na laki saba lakini sina uzoefu na biashara! naombeni mawazo nifanye biashara gani ambayo inaweza nitoa
nipo sumbawanga wakuu!

Biashara ambayo unaweza fanya awamu hii yenye demand ya uhakika(ukizingatia location yako)ni agrobusiness mkuu,,na kwa sababu upo S'wanga mazao ndo sehemu yake

Ni pm nikuunganishe na mtu mwenye uzoefu wa hiyo biashara kwa huko(hasa biashara ya mchele) zaidi ya 10 years yupo na biashara hiyo,ana eneo la mashine ya kukoboa na magodown eneo la sido hapo karibu na tanesco power plants hapo,,atakupa ushauri mzuri zaidi maana she is currently dealing with it,anai manage vizuri na anaifanya fulltime, na unaweza kufanya nae patnership ukabenefit connections na resource zake kujijenga

Kama utaprefer kufanya na kijana mwenzio kuna jamaa(of around 25 yrs of age)anafanya same business but yeye ni kutoka huko kwenda Zambia(lusaka,ndola n forth) n anaifanya full time tangu 2012 n dakika hii yupo lusaka anajiandaa kurudi kuchukua mzigo,ye hanaga holiday na ana resources almost like yule wa kwanza

U will thank me later
 
Bintishomvi, pls elezea hii kitu kwa undani kidogo maana,nimekuona kwenye uzi kadhaa ukicomment kuhusu hii biaahara ya plastic chakavu
Biashara ni ya plastic chakavu au makopo ya maji ,makopo ya maji au Chupa za maji unakuwa na mashine ambayo mimi ninayo na ya malekebisho kidogo unanunua dampo au vijiwe vya wanaponunulia unasaga na unawauzia wachina au plastic mfano mabeseni vikombe ,mabakuli n.k unatenganisha rangi na aina ya plastiki pia unatenganisha alafu unasaga unauzia hapa hapa au nje ya nchi masoko ya kenya nayajua na ya ndani nayajua hii biashara aiitaji usharobaro na msingi ukikua unanunua mashine za kutisha na kufanya kazi na kuipandisha dhamani na kutengeneza matilio ya atua ya pili masoko yapo ila siku ni nyingi sijaulizia being kwa sasa imesimama bei gani nimechoka kuuliza bei sababu inatia uchungu .masoko,pakunua jinsi ya kuendesha hii biashara na changamoto zake najua tatizo mtaji wa eneo la biashara na mimi ni mzoefu wa matilio yatokanayo na taka lejea kuna aina nyingi ya matelio dampo.ni hayo tu zaidi kwa anaeitaji tuingie ubia yeye ataingiza pesa kidogo hapo na kumuonyesha jinsi ya kufanya nae atafurahia biashara tuachane na biashara za mazoe unazoziona machoni mwako ujue wengi wana mawazo kama yako ushindani unakuwa mkubwa na unatumia akili ya ziada sana.samani kwa uandishi mbovu
 
Na hii aina changamoto za magu inapanda inashuka ila wewe uadhiliki Nina maana yangu ni hivyo anaekuja pm mwenye nia tu maana nimechoka kuojiwa .na wadodosaji lakini sio watendaji waoga wamezoea kuiga biashara bila kujua chanzo na sababu na kujistamini tusiwe waoga ukizingatia mimi najua changamoto zote na ninaweza kuzikabili sababu mimi mzoefu .
 
fungua duka la vitu vya jumla soda bia unga wa ugali na ngano na vikookoro vidogo vidogo inaweza ikachukua kama milion 55 nyingine weka benk maisha yanakwenda
Mwenzako anakuambia ana mil 15 we unampigia budget ya mill 55.
 
Na hii aina changamoto za magu inapanda inashuka ila wewe uadhiliki Nina maana yangu ni hivyo anaekuja pm mwenye nia tu maana nimechoka kuojiwa .na wadodosaji lakini sio watendaji waoga wamezoea kuiga biashara bila kujua chanzo na sababu na kujistamini tusiwe waoga ukizingatia mimi najua changamoto zote na ninaweza kuzikabili sababu mimi mzoefu .

unadhan unataka mtu aje na mtaji wa kiasi gani, au kama ana eneo ungependekeza la ukubwa gani na wapi?
 
Back
Top Bottom