Mzee Rufiji
JF-Expert Member
- Aug 24, 2024
- 261
- 395
Jana Maguire kaharibu sherehemuue liver tu mkuu... utakuja kunishukuru hapa, ukiwa kwenye orodha ya Forbes 😂😂🤣🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana Maguire kaharibu sherehemuue liver tu mkuu... utakuja kunishukuru hapa, ukiwa kwenye orodha ya Forbes 😂😂🤣🤔
wanatuchelewesha safari yetu ya kuingia kwenye orodha ya forbes..🙄🙄😥Jana Maguire kaharibu sherehe
Naongea kwa experience mkuu
Biashara ya dhahabu na madini mengineHabari zenu wapendwa kwa Tanzania kwa sasa ni biashara gani. Ukiifanya inaweza kukufanya kuwa millionaire au billionaire?🙏.
Lugumi nae ana Deal na izo Tenda za jeshiBiashara yoyote utakayo weza kuifanya na serikali ya JMT unaweza kuwa billioneir.
Ukiweza kupenya ukapata tender kubwa za serikali umeula, achana na hizi za manispaa, tafuta za serikali kuu au mawizara.
Mfano tu, Ukiweza, narudia ukiweza ingia kwenye military tender board meetings, huko utakutana na billioneirs, jichanganye huko, fanya juu chini hata ukipata shared tender ukaifanikisha, ni mwanzo mzuri.
Hizi biashara za uchuuzi utachelewa, wewe deal na serikali up and down, tight and left.
Ukipata nikumbuke, nitakuwa hapa nangoja our next billioneir in town unipe beer moja ya kujipongeza.
Ndio Mnakutana huko mnagawana utajiri.Lugumi nae ana Deal na izo Tenda za jeshi
Nafikiri mabilionea wa dola wa halali wapo wawili tu nchi hii.$1bil tz hamna nitakuwa wa mwisho kuamini tz hii
Bar na Guest house ya nguvuHabari zenu wapendwa kwa Tanzania kwa sasa ni biashara gani. Ukiifanya inaweza kukufanya kuwa millionaire au billionaire?🙏
KabisaBiashara yoyote utakayo weza kuifanya na serikali ya JMT unaweza kuwa billioneir.
Ukiweza kupenya ukapata tender kubwa za serikali umeula, achana na hizi za manispaa, tafuta za serikali kuu au mawizara.
Mfano tu, Ukiweza, narudia ukiweza ingia kwenye military tender board meetings, huko utakutana na billioneirs, jichanganye huko, fanya juu chini hata ukipata shared tender ukaifanikisha, ni mwanzo mzuri.
Hizi biashara za uchuuzi utachelewa, wewe deal na serikali up and down, right and left.
Ukipata nikumbuke, nitakuwa hapa nangoja our next billioneir in town unipe beer moja ya kujipongeza.
Dunia nzima matajiri hufanya biashara na serikali. Huko ndio kuna pesa za bure zisizo na maumivu yoyote.Kabisa
Yupo jamaa ana Tender ya ku supply vikorokoro vya IT mashallah mashallah yupo vizuri sana tena mno mpaka anawajengea mayatima ...alhamdulilah
Punda w nadawa ya kulevyaHabari zenu wapendwa kwa Tanzania kwa sasa ni biashara gani. Ukiifanya inaweza kukufanya kuwa millionaire au billionaire?🙏
Dunia nzima matajiri hufanya biashara na serikali. Huko ndio kuna pesa za bure zisizo na maumivu yoyote.
Habari zenu wapendwa kwa Tanzania kwa sasa ni biashara gani. Ukiifanya inaweza kukufanya kuwa millionaire au billionaire?🙏
Hapo umenitoa tongotongoNafikiri mabilionea wa dola wa halali wapo wawili tu nchi hii.
Ambao ni Muhammed Dewji mwenye $1.5b na Said Bakheresa mwenye $1.2b
Ila mabilionea wa dola nchii hii ambao sio wa halali wapo wengi sana akiwemo mzee wa msoga na Mwigulu Nchemba...
Fanya biashara na Ikulu, specifically Abdul, you will be a billionaire within secondsHabari zenu wapendwa kwa Tanzania kwa sasa ni biashara gani. Ukiifanya inaweza kukufanya kuwa millionaire au billionaire?🙏