Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

Ni biashara gani ukifanya Tanzania unaweza kuwa millionaire au billionaire

Biashara yoyote utakayo weza kuifanya na serikali ya JMT unaweza kuwa billioneir.

Ukiweza kupenya ukapata tender kubwa za serikali umeula, achana na hizi za manispaa, tafuta za serikali kuu au mawizara.

Mfano tu, Ukiweza, narudia ukiweza ingia kwenye military tender board meetings, huko utakutana na billioneirs, jichanganye huko, fanya juu chini hata ukipata shared tender ukaifanikisha, ni mwanzo mzuri.

Hizi biashara za uchuuzi utachelewa, wewe deal na serikali up and down, tight and left.

Ukipata nikumbuke, nitakuwa hapa nangoja our next billioneir in town unipe beer moja ya kujipongeza.
Lugumi nae ana Deal na izo Tenda za jeshi
 
$1bil tz hamna nitakuwa wa mwisho kuamini tz hii
Nafikiri mabilionea wa dola wa halali wapo wawili tu nchi hii.

Ambao ni Muhammed Dewji mwenye $1.5b na Said Bakheresa mwenye $1.2b

Ila mabilionea wa dola nchii hii ambao sio wa halali wapo wengi sana akiwemo mzee wa msoga na Mwigulu Nchemba...
 
Biashara yoyote utakayo weza kuifanya na serikali ya JMT unaweza kuwa billioneir.

Ukiweza kupenya ukapata tender kubwa za serikali umeula, achana na hizi za manispaa, tafuta za serikali kuu au mawizara.

Mfano tu, Ukiweza, narudia ukiweza ingia kwenye military tender board meetings, huko utakutana na billioneirs, jichanganye huko, fanya juu chini hata ukipata shared tender ukaifanikisha, ni mwanzo mzuri.

Hizi biashara za uchuuzi utachelewa, wewe deal na serikali up and down, right and left.

Ukipata nikumbuke, nitakuwa hapa nangoja our next billioneir in town unipe beer moja ya kujipongeza.
Kabisa
Yupo jamaa ana Tender ya ku supply vikorokoro vya IT mashallah mashallah yupo vizuri sana tena mno mpaka anawajengea mayatima ...alhamdulilah
 
Kabisa
Yupo jamaa ana Tender ya ku supply vikorokoro vya IT mashallah mashallah yupo vizuri sana tena mno mpaka anawajengea mayatima ...alhamdulilah
Dunia nzima matajiri hufanya biashara na serikali. Huko ndio kuna pesa za bure zisizo na maumivu yoyote.
 
Nafikiri mabilionea wa dola wa halali wapo wawili tu nchi hii.

Ambao ni Muhammed Dewji mwenye $1.5b na Said Bakheresa mwenye $1.2b

Ila mabilionea wa dola nchii hii ambao sio wa halali wapo wengi sana akiwemo mzee wa msoga na Mwigulu Nchemba...
Hapo umenitoa tongotongo
 
Back
Top Bottom