Ni Bidhaa Au Kifaa Gani Sitakiwi Kukosa ndani ya nyumba?

Ni Bidhaa Au Kifaa Gani Sitakiwi Kukosa ndani ya nyumba?

Kimoja kati ya hivi:

55" inch TV screen, 4K
Soundbar atleast 320W kwenda juu.
Hapa kwenye sound bar umenigusa mi naamini uwe na ghetto au nyumba cha kwanza mziki mnene

Sio lazima kudundisha kama mashindano ila muhimu kusikiliza mziki mzuri hata kwa sauti ya chini ila kiyu kiwe quality
 
Kutokana na maisha yanavyoenda nimejikuta nimenunua router ya unlimited ya company flani. Hii inanisaidia kupunguza gharama pale nyumbani kwa watu wote. Pia imeleta furaha ndani ya nyumba.

NI Bidhaa gani ni za muhimu kuwepo ndani ya kwa maisha ya sasa?
kutokana na upepo wa kisiasa; tochi,ka-fimbo kama rungu na kipande cha nondo muhimu sana
 
Unyama sana mkuu mi pia nina android tv 55'' na router ya airtel unlimited ni mwendo wa kunyang'anyana remote tu

hii kitu sio poa aisee nimeipiga kodi aisee. Naangalia dunia nzima. Azam max hayupo play store natumia app ya downloader kumcheki
 
Kutokana na maisha yanavyoenda nimejikuta nimenunua router ya unlimited ya company flani. Hii inanisaidia kupunguza gharama pale nyumbani kwa watu wote. Pia imeleta furaha ndani ya nyumba.

NI Bidhaa gani ni za muhimu kuwepo ndani ya kwa maisha ya sasa

Kosa vyote ila ndani ya nyumba usikose HELA
 
Back
Top Bottom