Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukikuta wametafuna nyaya zote utamkumbuka huyu msukuma!Utakuwa msukuma wewe
Naunga mkono hojaaa, [emoji122][emoji122][emoji122]Sime na Rungu mkuu,huu wakati siyo aisee....akija kwako akisema yeye ni police huyo pita nae
Sure yaan aiseeNaunga mkono hojaaa, [emoji122][emoji122][emoji122]
Huwezi elewa ww kijana, ukiwa na familia ndiyo utajua umuhimu wa vitu kama nyundo, screw drivers, plies, msumeno, panga etc.. kuna vile vitu vya kufix fasta fasta siyo lazima uite fundi issue kama kitasa cha mlango, kiti meza kitanda cha kugongelea msumari mmoja au miwili etc..Unazingua
Hebu nifafanulie hii, inafanyikajeRouter umenunua safi kama hauna smart tv mkuu tafuta smart tv uwe unaconnect internet utasahau kabisa kulipia king'amuzi
Ndio inaitwa toolbox?Muhimu sana hii, DIY kwa kila Me
Kwa stress za maisha za sasaKutokana na maisha yanavyoenda nimejikuta nimenunua router ya unlimited ya company flani. Hii inanisaidia kupunguza gharama pale nyumbani kwa watu wote. Pia imeleta furaha ndani ya nyumba.
NI Bidhaa gani ni za muhimu kuwepo ndani ya kwa maisha ya sasa?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu hii nyumba au Karakana?
Eeh madam, hiyo ni toobox ambayo kila mwanaume anatakiwa walau awe nayo, hata kama sio mtumiaji kivile.Ndio inaitwa toolbox?
bila shaka ilikuwepo hata kama sikuonaKwani uliona hadi reki ? 😀😀