Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
- Thread starter
- #21
Wako vizuriNimewahi kutumia Assemble wakati ikiitwa AAR, nililazwa Bugando aisee ilikuwa burudani, bima ilikuwa inacover hadi misosi. Ulikuwa ni mwendo wa kuku na sato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako vizuriNimewahi kutumia Assemble wakati ikiitwa AAR, nililazwa Bugando aisee ilikuwa burudani, bima ilikuwa inacover hadi misosi. Ulikuwa ni mwendo wa kuku na sato.
Hawa hawajajikita kwenye bima ya afyaNSSF Changamoto ni hapo kuchagua kituo cha afya kwenda kingine mpaka rufaa kutoka hapo
Kila Bima huwa inakuwa na exclusions na inclusionsHawa hawajajikita kwenye bima ya afya
HAINA UKOMO WA DAWA.Sasa NHIF 192k unalazwa strategy 400k hulazwi si bora NHIF
Kutibiwa mwisho 40?. Mm strategis wananilipia mpaka gym elfu 15 Kwa siku. By the way natumia Premium premium package.Na kutibiwa nyingine mwisho 40k hapo unapata nini faida ?
Wambie wakina Error 404 waijue vizuri strategis.Strategies Ni NZURII Sanaa 😊 hii nilikua nayo enzi izoo nikiwa beneficiary wa mzee wangu....
Miaka majuzi nikiwa naongeza Elimu za juu (postgraduate) moja ya takwa mojawapo la chuo Ni bima ya afya so nikajaza fomu za NSSF nikachagua hospital moja sijawai itumia Tena hata sijui kadi ipo wap..
sawa kabisaWambie wakina Error 404 waijue vizuri strategis.
na hiyo ni ya kiwango cha chini level za Lucas MwashambwaBima ya laki 4 kwa mwezi sisi akina Lucas Mwashambwa tunaimudu kweli? Au ni spesho kwa ajili ya akina mwigulu madelu?
Sio kweli.NSSF & NHIF unaruhusiwa kumwona daktari mmoja kwa siku, labda kama ni issue ya emergency.
Menu za Assemble kama unayo
unalipa how much per year?? usije ukawa beneficiary tu.??Kutibiwa mwisho 40?. Mm strategis wananilipia mpaka gym elfu 15 Kwa siku. By the way natumia Premium premium package.
Hakuna bima inayolipa Gym usidanganyikeunalipa how much per year?? usije ukawa beneficiary tu.??
strategies insurance wana hide things. una bima ila uji limitations zake. amna hata pdf za huduma
Hakuna bima inayolipa Gym acha kudanganya ummaKutibiwa mwisho 40?. Mm strategis wananilipia mpaka gym elfu 15 Kwa siku. By the way natumia Premium premium package.
OkNHIF sasa hivi hawalipi hela ya kumuona daktari mmoja mmoja wanalipa hela ya Matibabu kwa siku hiyo uliyokwenda kutibiwa ,ukifika hospitalini ukaona Daktari mmoja au watatu wao wanalipa hela ya Daktari mmoja wakiwa wanamaana wanalipa Visit ya siku hiyo sio hela ya Daktari .
Hivyo kwa sasa unaweza kwenda hospital ukatibiwa na daktari bingwa wa Magonjwa ya ndani ,meno ,wa kawaida ila hapa watalipa ya Daktari mmoja ambae ni superior kwa hapa ni physician
Ukitibiwa hosp A leo ukaenda hosp B leo leo bado utasomeka uko hosp A huko hosp B utatibiwa kama ni Emergency au umepewa rufaa jambo ambalo la kawaida tu .
Hivi kumbe walibadili jina, nilidhani walifirisika. Nilikua naitumia miaka ile, enzi za hela ya mzungu wa African Barrick.Nimewahi kutumia Assemble wakati ikiitwa AAR.
Wanachama wao wana matumizi mabovu sanaHivi kumbe walibadili jina, nilidhani walifirisika. Nilikua naitumia miaka ile, enzi za hela ya mzungu wa African Barrick.
AAR ilikua Bima poa sana, tulikua tunaruhusiwa hata kupata huduma Pharmacy tu bila kupitia kwa daktari.
Sema walipigwa sana na wanachama wao.