Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,268
- 3,429
Nililipiwa nduguUlikuwa umejilipia au ulilipiws nankampuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nililipiwa nduguUlikuwa umejilipia au ulilipiws nankampuni
Uzi ungekuwa na msaada zaidi kama ungeanisha bei ya kila bima. Hili la kusema tu bima nzuri linaweza kupotosha kwa sababu members hawatajua gharama.Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :-
-NHIF
-ASSEMBLE
-STRATEGIES
-JUBILEE
-Cigna
-BRITAM
-BUPA
-UAP
-HEALIX
-WCF
-CHF
-Aetna
-NSSF
Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida zipi?
Binasi pamoja na Changamoto zote bado ntamshauri mtu ajiunge na NHIF iwe ya standard ,supplementary au VIFURUSHI kwa sababu zifuatazo -
1. Inapatikana Nchi nzima
2. Haina kiwango na ukomo wa matibabu kwa siku
3. Ina huduma zote muhimu kama kumwona daktari, vipimo, upasuaji na madawa muhimu yote.
Wewe je una uzoefu na ushauri upi?
Huyo kaongeza vituGharama za kukata hii bima ni kiasi gani, hii kiboko
Vifurushi vyao vikoje?STRATEGIS, inanipeleka mpaka INDIA nikiugua, nauli yakwenda na kurudi juu yao na million Moja na laki Tano kama fedha ya kujikimu unapatiwa. Unatibiwa hospital wanazotibiwa wabunge na wafanya biashara wakubwa.
Daah we Jamaa wewe, ulizia acha ubisha Mzee. Wapigie uwaulize.Hata check up tu hakuna acha kudanganya watu
Na unalipa ngapi kwa mwakaSTRATEGIS, inanipeleka mpaka INDIA nikiugua, nauli yakwenda na kurudi juu yao na million Moja na laki Tano kama fedha ya kujikimu unapatiwa. Unatibiwa hospital wanazotibiwa wabunge na wafanya biashara wakubwa.
Strategies ni classic sema haipatikani kwene vihispitali vya ajabuBinafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :-
-NHIF
-ASSEMBLE
-STRATEGIES
-JUBILEE
-Cigna
-BRITAM
-BUPA
-UAP
-HEALIX
-WCF
-CHF
-Aetna
-NSSF
Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida zipi?
Binasi pamoja na Changamoto zote bado ntamshauri mtu ajiunge na NHIF iwe ya standard ,supplementary au VIFURUSHI kwa sababu zifuatazo -
1. Inapatikana Nchi nzima
2. Haina kiwango na ukomo wa matibabu kwa siku
3. Ina huduma zote muhimu kama kumwona daktari, vipimo, upasuaji na madawa muhimu yote.
Wewe je una uzoefu na ushauri upi?
Hii 192K kwa kifurushi cha mtu mmoja au familia?Sasa NHIF 192k unalazwa strategy 400k hulazwi si bora NHIF
Binafsi situmii bima za kadi.Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :-
-NHIF
-ASSEMBLE
-STRATEGIES
-JUBILEE
-Cigna
-BRITAM
-BUPA
-UAP
-HEALIX
-WCF
-CHF
-Aetna
-NSSF
Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida zipi?
Binasi pamoja na Changamoto zote bado ntamshauri mtu ajiunge na NHIF iwe ya standard ,supplementary au VIFURUSHI kwa sababu zifuatazo -
1. Inapatikana Nchi nzima
2. Haina kiwango na ukomo wa matibabu kwa siku
3. Ina huduma zote muhimu kama kumwona daktari, vipimo, upasuaji na madawa muhimu yote.
Wewe je una uzoefu na ushauri upi?
Ukienda Hospital wakagundua unatumia STRATEGIES unapewa special treatment.Strategies ni classic sema haipatikani kwene vihispitali vya ajabu
Bima ni muhimu sanaBinafsi situmii bima za kadi.
Nipo bima ya mitishamba
Bima ya mazoezi
Bima ya Yesu
Bima ya Sangoma.
Bima ya mtume SAW
mwaka wa 23 sijui bistali.
Ila nitakata tu hizo za vipande ngoja nizisake kwanza au nitagongea kwa wife.
Mtu mmojaHii 192K kwa kifurushi cha mtu mmoja au familia?
Utakuwa huijui vizuri au ni mtumishi waoUkienda Hospital wakagundua unatumia STRATEGIES unapewa special treatment.
Ntakua siijui vizuri au ntakua mtumishi wao?. Sasa kama nimtumishi wao ntashindwaje kuijua vizuri?.Utakuwa huijui vizuri au ni mtumishi wao
Yaani namaanisha unaipa sifa nyingi sababu either huijui vizuri au ni mtumishi wao unapiga promoNtakua siijui vizuri au ntakua mtumishi wao?. Sasa kama nimtumishi wao ntashindwaje kuijua vizuri?.