EEM M
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 459
- 937
Haya umeyatoa wapi??... STOP misleading wanaJFNSSF & NHIF unaruhusiwa kumwona daktari mmoja kwa siku, labda kama ni issue ya emergency.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya umeyatoa wapi??... STOP misleading wanaJFNSSF & NHIF unaruhusiwa kumwona daktari mmoja kwa siku, labda kama ni issue ya emergency.
Kaandika vizuri lakini service Gym kwenye bima nimepata shaka Waja Hospital ndio hospital kubwa Geita na hatutoi huduma hiyo kwa mfumo wa bima zaidi ya Physiotherapy . Labda haelewi tofauti ya hizo hudumaMbona mshikaji kaandika kwa uzuri kabisa ni nini mnabishana sasa? Yeye ni mtumiaji wa hiyo bima na amedai kuna kifurushi kinatoa hiyo huduma ya gym wewe na Error 404 mnabisha tu bila uthibitisho wowote ule. Mwisho kasema wapigieni wahusika mpate uhakika zaidi bado mnabisha, Watanganyika mna matatizo sana.
Story za vijiweni wanabeba kama zilivyoHaya umeyatoa wapi??... STOP misleading wanaJF
kituo kimoja cha afya na sio daktariSio kweli.
Kuna mtu ameshaona daktari 2 tofauti siku 1.
kwan gym si moja ya majukumu ya physiotherapy ? au simwelew physiotherapist?Kaandika vizuri lakini service Gym kwenye bima nimepata shaka Waja Hospital ndio hospital kubwa Geita na hatutoi huduma hiyo kwa mfumo wa bima zaidi ya Physiotherapy . Labda haelewi tofauti ya hizo huduma
inategemeana na kifurushiNHIF FAST TRACK Unapata huduma nyingi, hadi miwani ya macho
Physiotherapy ni mazoezi yanafanywa kama tiba mfano umepata stroke ukapata udhaifu wa viungo unafanyiwa mazoezi ubongo ukumbuke kazi yake na kiungo kirudi kawaida , Gym ni broad ikihusisha mazoezi ya kuweka sawa mwili hata kama hujapata shida au ugonjwa wowote haya Bima huwa hawalipiikwan gym si moja ya majukumu ya physiotherapy ? au simwelew physiotherapist?
Wengine wanatembea na story za vijiweniKaandika vizuri lakini service Gym kwenye bima nimepata shaka Waja Hospital ndio hospital kubwa Geita na hatutoi huduma hiyo kwa mfumo wa bima zaidi ya Physiotherapy . Labda haelewi tofauti ya hizo huduma
Sintoendelea Tena na hii mada, Kwa sababu ww unaleta theory zakwenye makaratasi Mimi nazungumza uhalisia. Wapigie uwaulize hivi nikifurushi Gani ambacho kinajumuisha huduma ya gym kwenye bima yenu, Kisha wakisema hakipo waulize, mbona baadhi ya wafanyakaz wa DEPOT ZA MAFUTA na MIGODINI wanafanya mazoezi kwa kutumia bima yenu, kwenye baadhi ya GYM za KIGAMOMBONI, Posta na Geita?. Then utuletee mrejesho.
Kua na siku njema.
Wengi mmenishambulia huko juu bila kujua aliyeleta mada anataka nini,Haya umeyatoa wapi??... STOP misleading wanaJF
bima ya afya bora,ni kuacha sigara,pombe,bange,ngono!!!Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :-
-NHIF
-ASSEMBLE
-STRATEGIES
-JUBILEE
-Cigna
-BRITAM
-BUPA
-UAP
-HEALIX
-WCF
-CHF
-Aetna
-NSSF
Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida zipi?
Binasi pamoja na Changamoto zote bado ntamshauri mtu ajiunge na NHIF iwe ya standard ,supplementary au VIFURUSHI kwa sababu zifuatazo -
1. Inapatikana Nchi nzima
2. Haina kiwango na ukomo wa matibabu kwa siku
3. Ina huduma zote muhimu kama kumwona daktari, vipimo, upasuaji na madawa muhimu yote.
Wewe je una uzoefu na ushauri upi?
Basi wachungaji na mashekhe wasingekufa mapemabima ya afya bora,ni kuacha sigara,pombe,bange,ngono
Kumekucha.STRATEGIS, inanipeleka mpaka INDIA nikiugua, nauli yakwenda na kurudi juu yao na million Moja na laki Tano kama fedha ya kujikimu unapatiwa. Unatibiwa hospital wanazotibiwa wabunge na wafanya biashara wakubwa.
ngono ni afya piabima ya afya bora,ni kuacha sigara,pombe,bange,ngono!!!
Nazungumzia package yangu.Kumekucha.
Sio package zote zinakupa hii kitu.
Kuna wajinga wachache wanabisha.Nilifika hadi kigoma gym zinapokea iyo Bima. Unachosema ni sahihi mkuu
Watu wanazungumzia uhalisia wewe unasema story za vijiweni.Wengine wanatembea na story za vijiweni
Mkuu nafasi niliyopo siwez toa connection, maana mwenyewe ni Mungu tu alisababisha.Mkuu mi naomba connection ya kazi huko mgodini.