Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri

Wambie wakina Error 404 waijue vizuri strategis.
 
Ok
 
Nimewahi kutumia Assemble wakati ikiitwa AAR.
Hivi kumbe walibadili jina, nilidhani walifirisika. Nilikua naitumia miaka ile, enzi za hela ya mzungu wa African Barrick.

AAR ilikua Bima poa sana, tulikua tunaruhusiwa hata kupata huduma Pharmacy tu bila kupitia kwa daktari.

Sema walipigwa sana na wanachama wao.
 
Wanachama wao wana matumizi mabovu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…