Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri

Mkuu najamaa zangu pia wanafanya kazi SAHARA GROUP, hii nikampuni ya Oil and gas, Kigamboni nao wanatumia hii bima ya strategis nawanaitumia mpaka gym. Mimi nipo kampuni Moja GGM tunatumia pia mpaka gym. Lakini watu wachache kama wakina Error404 hawaamini pamoja na nduguye Nehemia Kilave, naamin mpaka Sasa watakua wameshaulizq.
 
Acha uongo, wewe unafanya kazi kampuni uchwara ambazo hazijui umuhimu wa gym ndio maana kifurushi chako hakijumuishi bima, uzuri kuna mdau kaweka documents hapo juu za STRATEGIES kuondoa huo uongo wako.
 
Kaandika vizuri lakini service Gym kwenye bima nimepata shaka Waja Hospital ndio hospital kubwa Geita na hatutoi huduma hiyo kwa mfumo wa bima zaidi ya Physiotherapy . Labda haelewi tofauti ya hizo huduma
Kuna mdau kaweka documents hapo za strategis na gym wanazopokea bima ya strategies.
 
Kuna mdau kaweka documents hapo za strategis na gym wanazopokea bima ya strategies.
Mkuu umezisoma zile services alizopost si umeona kuna physiotherapy sio Gym , sikatai kampuni binafsi inaweza ongea nao wawape watu wao huduma hiyo lakini hiyo huduma inayotolewa kwa standard beneficiaries .

Hizo image ukiachana na pdf ndio service wanazozitoa ingawa hawajazuia supplements
 
Kutibiwa mwisho 40?. Mm strategis wananilipia mpaka gym elfu 15 Kwa siku. By the way natumia Premium premium package.
Hii ni akili kubwa sana.

Anayefanya mazoezi anakingwa na magonjwa mengi yasioambukiza hivyo mwaka mzima anaweza asiende hospitali mwaka mzima na hiyo premium package malipo ni mamilioni kwa mwaka. 👌🏼
 
Dogo nhif inaenda kufa kifo kibaya Haina hela kabisa
 
Strategies & Jubilee
 
Kaandika vizuri lakini service Gym kwenye bima nimepata shaka Waja Hospital ndio hospital kubwa Geita na hatutoi huduma hiyo kwa mfumo wa bima zaidi ya Physiotherapy . Labda haelewi tofauti ya hizo huduma
Hajasema service ya Gym unaclaim hospitali.

Hizo ni commercial Gyms zenye mikataba ya kutoa memberships kwa clients wa Strategies, na ni tofauti kabisa na huduma ya Physiotherapy
 
Dogo nhif inaenda kufa kifo kibaya Haina hela kabisa
Hiyo ni ngumu kutokea , hakuna bima inabeba clients wengi na bado isiwe na misukosuko duniani kote .As longer as beneficiaries wengi basi tegemea changes nyingi hata hao strategy na Jubilee members wakishakuwa wengi utaona tu wanapotea .
 
Nimejikuta Niko kwenye Uzi wa watoto wa shule kubishania ujinga tu.

Wasaidie wasomaji kuainisha gharama za bima na ubora wake

Nimeambulia kiduchu tu kuwa bima Bora ni strategies
 
Soma picha ya pili mstari wa mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…