KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Ukitaka kujua kuwa kilomita zimerudishwa nyuma unafanyaje mkuu...?Madalali wa magari nchini Tanzania kila siku wamekuwa wakiharibu biashara ya magari ya mkononi kwa kukosa elimu ya biashara.
Uaminifu, ukweli na uwazi ni msingi MKUBWA sana kwenye ukuaji wa biashara yoyote ndio maana kwa kulijua hilo, wenzetu wa nje hawarudishi nyuma kilometa ambazo zinasoma kwenye odometer, umbali ambao Gari imetembea.
Gari ambayo imeingia nchini ikiwa imetembea kilometa 102,005, wauzaji watailazimisha Gari hiyo isomeke kwamba imetembea kilometa 35,000 kitu ambacho ni uhuni na kukosa weledi.
Soko la ndani la magari linaharibiwa na wauza magari wenyewe.
Ukitaka kujua kuwa kilomita zimerudishwa nyuma unafanyaje mkuu...?
Hawa kina Doto magari ndo waharibifu wenyewe. Pia show rooms nao wanarudisha sana kilometa.Kama hilo gari walinunua Toyota Tz pre owned nunua, ila kwa Kina Doto usinunue maana zile gari wanazichukua pale Jan Japanese zina 120Kkm wanaenda zishusha
Kwa mfano zile mileage zinasoma kidijitali nilisoma inawezwa badilishwa kwenye dashboard ila ukichomeka mashine ya kusona error codes unaweza kuona mileage halisi maana inakuwa kwenye memory ya conp ya gari
- Unusually low mileage for vehicle's age. ...
- Wear and tear don't match odometer. ...
- Dashboard shows signs of tampering. ...sio kwa magari yote
- Electrical issues. ...
- Mileage doesn't match the car's history report. ...na mara nyingi wauza magari doesn't provide this file kwako
- Suspiciously low price. ...
- Get a pre-purchase inspection. ...
- Take a test drive.
Wauza magari hawataki kabisa uende na diagnosis machine wakati wa MANUNUZI, utasikia huyu hana hela, hamna biashara hapaKwa mfano zile mileage zinasoma kidijitali nilisoma inawezwa badilishwa kwenye dashboard ila ukichomeka mashine ya kusona error codes unaweza kuona mileage halisi maana inakuwa kwenye memory ya conp ya gari
AsanteKwa mfano zile mileage zinasoma kidijitali nilisoma inawezwa badilishwa kwenye dashboard ila ukichomeka mashine ya kusona error codes unaweza kuona mileage halisi maana inakuwa kwenye memory ya conp ya gari
Ukinunua mkononi ni kwa ajili ya shambani tuMadalali wa magari nchini Tanzania kila siku wamekuwa wakiharibu biashara ya magari ya mkononi kwa kukosa elimu ya biashara.
Uaminifu, ukweli na uwazi ni msingi MKUBWA sana kwenye ukuaji wa biashara yoyote ndio maana kwa kulijua hilo, wenzetu wa nje hawarudishi nyuma kilometa ambazo zinasoma kwenye odometer, umbali ambao Gari imetembea.
Gari ambayo imeingia nchini ikiwa imetembea kilometa 102,005, wauzaji watailazimisha Gari hiyo isomeke kwamba imetembea kilometa 35,000 kitu ambacho ni uhuni na kukosa weledi.
Soko la ndani la magari linaharibiwa na wauza magari wenyewe.
Mwee kumbe wamefika huko? Mbona wanadai tuende na Mafundi wetu?Wauza magari hawataki kabisa uende na diagnosis machine wakati wa MANUNUZI, utasikia huyu hana hela, hamna biashara hapa
Litafika?Ukinunua mkononi ni kwa ajili ya shambani tu
Hahaha sasa si unaachana naoWauza magari hawataki kabisa uende na diagnosis machine wakati wa MANUNUZI, utasikia huyu hana hela, hamna biashara hapa
Vitu vingine kutojitambua Kwa mnunua gari, wewe unakuta gari Lina zaidi ya miaka 15 mileage inasoma chini ya 100,000 inamaana Hilo gari lilikuwa bovu au?Madalali wa magari nchini Tanzania kila siku wamekuwa wakiharibu biashara ya magari ya mkononi kwa kukosa elimu ya biashara.
Uaminifu, ukweli na uwazi ni msingi MKUBWA sana kwenye ukuaji wa biashara yoyote ndio maana kwa kulijua hilo, wenzetu wa nje hawarudishi nyuma kilometa ambazo zinasoma kwenye odometer, umbali ambao Gari imetembea.
Gari ambayo imeingia nchini ikiwa imetembea kilometa 102,005, wauzaji watailazimisha Gari hiyo isomeke kwamba imetembea kilometa 35,000 kitu ambacho ni uhuni na kukosa weledi.
Soko la ndani la magari linaharibiwa na wauza magari wenyewe.
Ufala na wala sio ujanjaNdio Ujanja wa mjini huo wenyewe wanaita.
Ni kweli kabisa,mtu jikusanye tu agiza zako kwa utulivu.Ufala na wala sio ujanja
Haya makubaliano yapo sana kwa wanaomiliki Range Rover, hasa zile third generationgari lina tatizo jingine ambalo inabidi wewe na fundi wako mkatafute fundi mwingine.
Shukrani sana kwa inputs hizi. Unaweza share link/platform ya kuingiza chasis number na kupata historia ya gari husika?Vitu vingine kutojitambua Kwa mnunua gari, wewe unakuta gari Lina zaidi ya miaka 15 mileage inasoma chini ya 100,000 inamaana Hilo gari lilikuwa bovu au?
Pili wewe mnunuzi lazima ujiridhishe na historia ya gari unalolinunua, mfano ipo mitandao ukiingiza chasis numba TU historia ya gari unaipata kipindi likiwa Japan eg lilikuwa registered lini, kilometer ilizo uzwa nalo, grade ya gari, accident histori
Hivyo kama hujitambua hata ununue Japan utapigwa TU kwasababu hata huko magari yanauzwa Kwa grade hivyo utauziwa grade R Kwa Bei ya grade 4.5