KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Madalali wa magari nchini Tanzania kila siku wamekuwa wakiharibu biashara ya magari ya mkononi kwa kukosa elimu ya biashara.
Uaminifu, ukweli na uwazi ni msingi MKUBWA sana kwenye ukuaji wa biashara yoyote ndio maana kwa kulijua hilo, wenzetu wa nje hawarudishi nyuma kilometa ambazo zinasoma kwenye odometer, umbali ambao Gari imetembea.
Gari ambayo imeingia nchini ikiwa imetembea kilometa 102,005, wauzaji watailazimisha Gari hiyo isomeke kwamba imetembea kilometa 35,000 kitu ambacho ni uhuni na kukosa weledi.
Soko la ndani la magari linaharibiwa na wauza magari wenyewe.
Uaminifu, ukweli na uwazi ni msingi MKUBWA sana kwenye ukuaji wa biashara yoyote ndio maana kwa kulijua hilo, wenzetu wa nje hawarudishi nyuma kilometa ambazo zinasoma kwenye odometer, umbali ambao Gari imetembea.
Gari ambayo imeingia nchini ikiwa imetembea kilometa 102,005, wauzaji watailazimisha Gari hiyo isomeke kwamba imetembea kilometa 35,000 kitu ambacho ni uhuni na kukosa weledi.
Soko la ndani la magari linaharibiwa na wauza magari wenyewe.