Mie ndio maana nasema mwanamke kabla hujamuoa lazima uwe ulishaga mzabua makofi.MKUU mke aliubwa kwa MWANAUME mwenye akili tu,
ukikosa Akili hata huyo wa standard seven atakushinda tu,
Usitupe lawama kwa wengine kaa chini na wewe pia ujitathmini kama una sifa za kuwa mme B'se tatizo linaweza kuwa wewe kuna mahali umepwaya kama mme au baba au kiongozi wa familia Ndio maana mke anakudhalau
Sasa hii ndio akili. Mwanamke hapaswi kusomeshwa anasoma ili iwaje?Basi usimsomeshe binti yako, mrahisishie mwamba atakayemuoa.
Tukata mzizi wa fitna.
Kwahiyo alikata ili kunisaidia ni siathirike? Au kilikua kibri?Glass baridi ya juice ukiwa umechoka si salama kwa afya yako
Alisikika Prof Janabi akisema
Alikuwa anakusaidiaKwahiyo alikata ili kunisaidia ni siathirike? Au kilikua kibri?
Jinga lile halina huruma na mimi anaona kasha win maisha kupokea msahara na maisha.Alikuwa anakusaidia
Haya mawazo ndo yananifanya nisiondoke mbali na huu Uzi.Kwa observation yangu ndogo
Kuna watu wanapata wake bora kwa ajili yao ila si mama bora haswa kwenye kuwaongoza watoto katika njia ya kimafanikio
Na kuna wanaooa mama bora kwa watoto ila ni wake pasua kichwa
Na wachache sana wanaopata mke bora lakini pia ambaye ni mama bora.
Ninachomaanisha, hao wasomi wana exposure na uelewa wa dunia inapoelekea hivyo huwa na chance kubwa zaidi ya kuwaongoza watoto hata kama usipokuwepo. Wengine wa darasa la saba ambao ni submissive, wanaweza kuwasimamia watoto kimaadili zaidi ila kwingine huko itategemea spirit yake ya utafutaji
Ila ukioa darasa la nne C na mama wa nyumbani. Kula raha ya kuonekana mfalme ndani ya nyumba ila omba sana usije kufariki maana familia yako itaishia hapo maana mkeo hatokuwa na option nyingine zaidi ya kuolewa tena ili aishi mjini. Je, vipi kuhusu watoto wako mkuu?...
Hivyo unaweza tafuta msomi mwenye maadili maana wapo wengi tu kama vile ambavyo la pili C wapo wengi tu wamevurugwa.
Hao wacha Mungu si ndio haohao wanapigwa mikunyubenga na wachungaji wao!!Sifa kuu mojawapo ya mwanamke bora ni MCHA MUNGU ...
Hii usiaaache kwenye vigezo vyako
We Acha kufikiria kupitia Kalio... Mwanaume anahitaji kuheshimiwa na mwanamke regardless Hana au anacho.Kwenda kinyume ni hatari Sana Kwa mwanamke huyo.Na nimaandiko.Au kwakuwa umempata low level mindset basi unaona umemaliza shidaWe Acha kufikiria kupitia Kalio... Mwanaume anahitaji kuheshimiwa na mwanamke regardless Hana au anacho.Kwenda kinyume ni hatari Sana Kwa mwanamke huyo.Na nimaandiko.Au kwakuwa umempata low level mindset basi unaona umemaliza shida
Natafuta Ajira naona hii comment uiandalie thread Ina title nzuri sanaWalioliwa na Barthazar wengi walikuwa wasomi na ni wake za watu. .. KATAAA NDOA
Shikamoo mkuu🤣🤣🤣Kama wew umechoka unazan na yeye ajachoka m-bwa wew
Kizaz cha sasa tubadlke tujifunze stadi muhimu za kujitekelezea majukumu yetu kama
Kujiandalia msos
Kuosha sahau tuliyokulia chakula
Kujipakulia chakula
Kujifulia coz days Go will not be the part of marriage business
Mkuu nashukur sana kwa heshima , hii ndio respect ya kiwango cha juu kutoka kwako ambayo cjawah kupata/kupewaShikamoo mkuu🤣🤣🤣
Bado mpo kweli🤣🤣Pasi nashaka wewe ni mhanga kama Mimi...
Wakwangu anakazi akanunua Gari lake wakati Mimi napambana na ujenzi.
Siku iso eleweka sikuliona lile Gari nilivyo muuliza akanijibu Gari lako au Langu
Pia umenioa Mimi ama Mshahara wangu.
Yeye ana masters ya Canada, wewe una degree ya vyuo vya kata vya Tanzania, kakuzidi ndomaana kakuacha.Degree