Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

Hawa la saba au ukifa nani atawasomesha wanao hivi kwanza mkuu unaijua "vicious poverty circle" hio inasema kama unazaliwa baba maskini, watoto masikini automatic na wajukuu wanakuwa maskini, hivo Ata kielimu mama hakusoma unatarajia watoto watasoma Covax
Vicious cycle of poverty haina uhusiano na elimu ya mama kwasbb anae tafuts riziki sio mama ni Baba, suala la kusomesha ni mtu binafsi hata yule ambae ajaenda shule kabisa anaweza kusimamia watoto wakasoma, suala la kufa hata mke anaweza ajatangulia mbele ya haki.
 
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.

Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”

Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Umenikumbusha mkufunzi mmoja wa chuo cha pale kurasini kwenye Junction ya kwenda Bandarini na mtoni kwa Azizi naye alioa house keeper. Alikuwa mzuri ila wanafunzi walikuwa wanapita nae sana maana hata yeye alikuwa anatongoza.

Kila ndoa ina matatizo yake kuwa makini sana mkuu. Ila kiuhalisia wanawake wengi wenye ajira tofauti na ualimu na uuguzi hawajui wajibu wao katika ndoa. Kwao ndoa ni vita ya usawa.
 
Mie ninaye la saba ana utii Kila kitu fresh Ila nahitaji wa degree ili nifanye adventure ya life hili.
I need a woman having bachelor degree Tena akiwa mchaga itapendeza mno.
Awe daktari ama engineer,or business finally lawyer nazipenda mno hizi professional
Inategemea na wewe una taaluma gani na level gani ya elimu, siyo uwe tatu bila halafu ukubaliwe na mwanamke mwenye degree.
 
Ni mkeo tu ondoa hiyo dhana potofu ndugu, mimi nimesoma mpaka degree ya pili ,naongia jikoni nampikia na kumtii ,i mume wangu Mambo yote km mke nafanya,shida ya ninyi mnazidisha ,mnataka mke yaani sijui afanyaje
Hapo kuzidisha ndo penyewe ndo kibri kinapo anzia unapima je kwamba hapa ni ya ziada? hayo masuala ya kupika na kutenga kwenye hotpot na kuondaka wataka nani aninaushe mikono? unataka nani aniogereshe wakati wa kula unataka nani anisogezee maji ya kunywa, unataka nani atowe vyiombo nikimaliza kula nk, ndoa ni utiii na unyenyekevu kwa mme sio kutoa huduma tu nakuondoka.
 
Mzee wangu Katika maisha yake alijitahidi kuoa nā kuishi nā wake 9,kabla hajatangulia mbele ya hali alinambia mwanangu wanawake woooote duniani wanafanana hata uoe wanawake 50 ni walewale.
Jitahidi utafute mke aliyelelewa nā mama nā Baba yake nā siyo single parent
 
Ngoja niufunge uzi kwa kusema km ni mwajiriwa na degree yake hakikisha uko smart kwny mipango lazima check no ataiumiza tu akisha baki na ⅓ kwny salary yake atatuliza genye tu .

NB.mwanamke mwenye pesa ➕️ elimu ➕️ uzuri kumdhititi kwake ni mpk uwe parasite kwny njia za kipato chake
 
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.

Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”

Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.

% ya wanawake fedha zao ni zao wala hwaatumii kwenye kujenga nyumba ya familia ,kuhudumia familia au kussport chochote kwenye familia zaidi ya kununua nguo zao ,viatu ,lotion ,mawigi etc ,ukiona anatumia kwenye ujenzi basi anajenga nyumba yake mwenyewe ambayo mumewe haimuhusu.
 
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.

Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”

Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Pasi nashaka wewe ni mhanga kama Mimi...
Wakwangu anakazi akanunua Gari lake wakati Mimi napambana na ujenzi.
Siku iso eleweka sikuliona lile Gari nilivyo muuliza akanijibu Gari lako au Langu
Pia umenioa Mimi ama Mshahara wangu.
 
Pasi nashaka wewe ni mhanga kama Mimi...
Wakwangu anakazi akanunua Gari lake wakati Mimi napambana na ujenzi.
Siku iso eleweka sikuliona lile Gari nilivyo muuliza akanijibu Gari lako au Langu
Pia umenioa Mimi ama Mshahara wangu.
Wewe umeolewa sio kwamba wewe ndo umeoa mke anakuaje na gari wewe akawa huna, kwangu ni mawili gari langu au ndoa ndo basi, sometime in marriage dictatorship unaleta Amani.
 
Kadri Ke anavyopata zaidi pesa, elimu, marafiki, umaarufu, vyeo ndivyo aanavyodhihirika kitabia ni yeye pekee ndiye aliyewahi kuongea na Shetani bustanini Eden.

Si kila siku Me hulalamika mitandaoni kuwa hawaoni pesa za Ke kabisa ktk ndoa zao kwa kujenga familia bora, pesa zao huenda wapi?

Poleni sana Marioo mliopumbazwa kulelewa na Ke kwa fedheha na masimango tele kisa six packs, u-handsome boy na mapenzi ya wafilipino ilihali nyuma ya pazia Ke huwaona sawa na mizukule tu.

Extrovert, Bush Doctor, Painkiller etc...njooni muokoe akina Juniors wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
We Acha kufikiria kupitia Kalio... Mwanaume anahitaji kuheshimiwa na mwanamke regardless Hana au anacho.Kwenda kinyume ni hatari Sana Kwa mwanamke huyo.Na nimaandiko.Au kwakuwa umempata low level mindset basi unaona umemaliza shida
 
Mwanao wa kike usimsomeshe uandalie mtu mke ambae hajaenda shule and submissive
 
Wewe umeolewa sio kwamba wewe ndo umeoa mke anakuaje na gari wewe akawa huna, kwangu ni mawili gari langu au ndoa ndo basi, sometime in marriage dictatorship unaleta Amani.
Usemacho ni kweli lakini Katikati ya mipango yetu Mimi nipambane na Nyumba basi.Na pia Mimi mwenyewe Nina Gari yangu.Lakini kweli swala la kuuza Gari bila kunishirikisha huwa niswala linalo nitafuna Sana.Na pia Ile Gari niliagiza Mimi Kwa Account zangu na pia pesa hakutoa zote Japo Asilimia kubwa ilitoka kwake baada ya kupata mkopo kazini kwake.
 
Mwanao wa kike usimsomeshe uandalie mtu mke ambae hajaenda shule and submissive
Kwani mimi nacho penda ndo wengine ndo wanacho penda pia siwezi kujua kama atakae muoa atampeda hivo au laa.
 
Usemacho ni kweli lakini Katikati ya mipango yetu Mimi nipambane na Nyumba basi.Na pia Mimi mwenyewe Nina Gari yangu.Lakini kweli swala la kuuza Gari bila kunishirikisha huwa niswala linalo nitafuna Sana.Na pia Ile Gari niliagiza Mimi Kwa Account zangu na pia pesa hakutoa zote Japo Asilimia kubwa ilitoka kwake baada ya kupata mkopo kazini kwake.
Hiyo nyumba unamjengea yeye for security purpose incase umemtangulia mbele ya haki, mke auze gari lake nisijue ni sipangie pesa matumizi haiwezekani, ni dharao hiyo, huenda kuna mgine anampangia na kumpa kiburi.
 
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.

Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”

Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Pole sana mkuu.

Ahsante pia kwa muongozo
 
Kwa observation yangu ndogo

Kuna watu wanapata wake bora kwa ajili yao ila si mama bora haswa kwenye kuwaongoza watoto katika njia ya kimafanikio

Na kuna wanaooa mama bora kwa watoto ila ni wake pasua kichwa

Na wachache sana wanaopata mke bora lakini pia ambaye ni mama bora.

Ninachomaanisha, hao wasomi wana exposure na uelewa wa dunia inapoelekea hivyo huwa na chance kubwa zaidi ya kuwaongoza watoto hata kama usipokuwepo. Wengine wa darasa la saba ambao ni submissive, wanaweza kuwasimamia watoto kimaadili zaidi ila kwingine huko itategemea spirit yake ya utafutaji

Ila ukioa darasa la nne C na mama wa nyumbani. Kula raha ya kuonekana mfalme ndani ya nyumba ila omba sana usije kufariki maana familia yako itaishia hapo maana mkeo hatokuwa na option nyingine zaidi ya kuolewa tena ili aishi mjini. Je, vipi kuhusu watoto wako mkuu?...

Hivyo unaweza tafuta msomi mwenye maadili maana wapo wengi tu kama vile ambavyo la pili C wapo wengi tu wamevurugwa.
Una akili sana, nashindwa tu kuelewa kwann hutaki kuoa mpaka sasa ili uzitumie hiz akil zako mdogo angu.
YOu are very brave nyuma ya keyboard 😂
 
Back
Top Bottom