Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

Ili

Nakuelewa sana il Ata mimi linanipa mawazo sana Ebu just imagine mama kaishia darasa la saba au fomfour failure hivi watoto watasoma kweli?? Ni kweli ni submissive Ila Sasa exposure ya maisha zero Ila hao wasomi ni exposed but not submissive haka ni ka mtihani sana lakini

Conclusion bora kuoa tabia kuliko hayo material thing education is a material thing kama una degree oa diploma, certificate, mzidi umri hela, urefu, Akili


Mwanamke acha kuzidi upendo, kuabudu,

Ila hakikisha hekima zenu zinakuwa sawa


Ulimwengu umeubwa kwa kanuni na zipo zinaexist na ukizifuata hutokutana na ukinzani katika MAISHA na hata kama ukikutana nao utaumudu



Ukiwa na UPENDO MWANAMKE yoyote yule hata awe na kiburi na jeuri KIASI Gani lazima atashuka chini tu, katika vitabu vitakatifu MUNGU ametuagiza👉 "tuwapende wake Zetu kama KRISTO alivyolipenda kanisa"



Huwezi kutoa Kitu ambacho huna, tunatoa tulivyonavyo sasa huwezi kutoa upendo kwa mke kama huna UPENDO na watu Wengi hawaelewi maana ya UPENDO au UPENDO ni Nini...!



Wanaume wengi wa dunia hi ya anguko wanamapenzi hivyo hutoa mapenzi kwa wake zao wakidhani wanawapenda wake zao, kumbe wanamapenzi na wake zao Kitu ambacho ni kinyume na kanuni ya universe Ndio maana wanakutana na ukinzani na maumivu, wake zao wanashindwa kuwatii na kuwaheshimu
 
Hao hao wenye elimu ya chini mkijiendeleza mnapata mpaka PhD mnaanza kuwanyanyasa kisa elimu yake ndogo wakati ulimuoa ukiwa unafahamu, kuna mmoja alipata nafasi kwenda kusoma nje kamnyanyapaa mkewe kaenda mwenyewe miaka 5, na alifadhiriwa kila kitu, halafu msomi mwenyewe ukimuona kama dish halipo sawa😀😀😀
 
Wakati mwingine wanaume wenyewe wanakuwa na shida Kwa wake zao , mke akihoji anaonekana mkorofi ,
 
Wakati mwingine wanaume wenyewe wanakuwa na shida Kwa wake zao , mke akihoji anaonekana mkorofi ,
Anahoji nini kwanini naizishe ligi kwangu, mfarakano wafamilia huzaga pale kwenye kuhoji hoji.
 
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.

Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”

Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Kaa kama Paulo bwana
 
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.

Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”

Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Hahaha
 
Hamna mwanamke anao zidi mwanaume akili labda ujanja janja au mwanaume kum-igonre tu, ili lipite
Tatizo liko hapa huu utafiti wako unahusu akili kwenye nini? Yeyote utakae mpata kudumu na kuelewana kwenu kutatokana na misingi mliojiwekea. Haijalishi kasoma au hajasoma
 
Ili

Nakuelewa sana il Ata mimi linanipa mawazo sana Ebu just imagine mama kaishia darasa la saba au fomfour failure hivi watoto watasoma kweli?? Ni kweli ni submissive Ila Sasa exposure ya maisha zero Ila hao wasomi ni exposed but not submissive haka ni ka mtihani sana lakini

Conclusion bora kuoa tabia kuliko hayo material thing education is a material thing kama una degree oa diploma, certificate, mzidi umri hela, urefu, Akili


Mwanamke acha kuzidi upendo, kuabudu,

Ila hakikisha hekima zenu zinakuwa sawa
Wanawake wasomi walio submissive bado wapo haswa wale wenye hofu ya Mungu na waliokuzwa traditionally.

Ila hawawezi kuwa submissive kama wale wasiosoma na tegemezi maana hawa hunyenyekea si kwa mapenzi Ila hawana option nyingine ya kuishi zaidi ya kumfurahisha mwanaume.


Kingine mwanamke msomi anapenda reasoning kiasi ambayo inaondoa ule utii ambao wengi wanautafuta. Kwa hiyo battle inazidi kuwa ngumu
 
Hawa la saba au ukifa nani atawasomesha wanao hivi kwanza mkuu unaijua "vicious poverty circle" hio inasema kama unazaliwa baba maskini, watoto masikini automatic na wajukuu wanakuwa maskini, hivo Ata kielimu mama hakusoma unatarajia watoto watasoma Covax
 
Ni mkeo tu ondoa hiyo dhana potofu ndugu, mimi nimesoma mpaka degree ya pili ,naongia jikoni nampikia na kumtii ,i mume wangu Mambo yote km mke nafanya,shida ya ninyi mnazidisha ,mnataka mke yaani sijui afanyaje
 
Ni mkeo tu ondoa hiyo dhana potofu ndugu, mimi nimesoma mpaka degree ya pili ,naongia jikoni nampikia na kumtii ,i mume wangu Mambo yote km mke nafanya,shida ya ninyi mnazidisha ,mnataka mke yaani sijui afanyaje
Ndagha Jubha!
 
Speaking from experience tunaweza kuwa differ au sawa, binafsi nilikuwa na mahusiano na mdada ambae nilikutana nae tangu mm namaliza form 4 yeye yupo form 2 miaka mingi iliyopita nikaendelea advence to cut the long story short mpka sas uyo dada ana masters tena karud mwaka jana toka canada alipata scholarship lakin zaid ya miaka kumi hajawahi nivinjia heshima wala kunidisrespect tulikuwa kwny mahusian tangu akiwa bint kigori mpaka sas anamahusian mengine namm nina mengine lakn bdo kuna ile kuwasilana uyu dada alitokeaga kunielewa yeye na kuniapproach alianza yeye mpaka kesho uwa bado anaamini mm ndiyo mumewe.
Wewe una level gani ya elimu kwa sasa?
 
Back
Top Bottom