Kim panther
Member
- Nov 13, 2023
- 5
- 3
Umenena ukweliHuyu iko nje ya ndoa wewe sio mme wake huwezi kujua anamzidi je akili, usichanganye professionalism ujuzi na akili za ndoa, boda boda alio oa akimu hawezi kumzidi akili ila anamzidi ujizi elewa hilo mkuu.
Some time upendo wamwanamke hutokana na mwanaume kukubali usumbufu na kuupokea unao toka kwa mawana mke na chuki kutoka kwamke hutokana na msimamo wa mwanaume kukataa kupokea na kukubali huo usumbufu wa mwanamke.
Mkuu kumbuka upendo sio static hubadilika kilingana na vitendo vya wahusika hao wawili, mwanamke ni kiumbe very dynamic hubadilika overnight hamna grantee kwenye kupwendwa na mwanamke.
Unamwaga maji ya ndoo 1 baharini Ndugu, huyo Jamaa mwache aendelee kushupaza shingo ili yakimkuta aelewe kwanini Baba na Babu zetu huonekana wana upeo kuliko kikazi chetu ingawa tunawazidi elimu dunia.Some time upendo wamwanamke hutokana na mwanaume kukubali usumbufu na kuupokea unao toka kwa mawana mke na chuki kutoka kwamke hutokana na msimamo wa mwanaume kukataa kupokea na kukubali huo usumbufu wa mwanamke.
Mkuu kumbuka upendo sio static hubadilika kilingana na vitendo vya wahusika hao wawili, mwanamke ni kiumbe very dynamic hubadilika overnight hamna grantee kwenye kupwendwa na mwanamke.
Rmula mimi nilimuoa wa darasa la saba ila nilijuta kabisa ujeuri,maneno ya shombo plus kurusha mangumi kutaka kunipiga nilijutaNikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Kwahiyo kwangu alikuja kutafuta nini? Singebaki kwao akiwa anatokea kuenda kazini kwake, lengo la kuoa kwangu ni kupata msaidizi wa kunilea pamoja na watoto wangu, sio economic partner.Ushasema ni muajiriwa ila wewe peke yako ndo unachoka ila yeye kwa vile ni mwanamke ni roboti hapaswi kuchoka?
Tunafanya observation from the past af ndo tunafanya judgement mkuu mwanamke msomi muajiliwa ni pasua kichwa.Hakuna garantee ya moja kwa moja kwamba aliyesoma au mwenye kazi ndiyo anakua mtilivu ndani ya ndoa hizo ni hulka binafsi.
Hiyo bahati mbaya ukuweza kutafuta kwenye familia nzuri, ila wengi wa darasa la saba ni watiifu na wanyenyekevuHaya mambo hayana fi
Rmula mimi nilimuoa wa darasa la saba ila nilijuta kabisa ujeuri,maneno ya shombo plus kurusha mangumi kutaka kunipiga nilijuta
Ni msukuma/mnyantuzu mpaka leo naonja joto la maweHiyo bahati mbaya ukuweza kutafuta kwenye familia nzuri, ila wengi wa darasa la saba ni watiifu na wanyenyekevu
Amini mkuu hiyo hulka ambayo ilijificha pengine hukuwahi iona from the scratch tena ipo hata kwa baadhi ya wanaume wapo wengine wakiwa hawana ni watulivu ila wakipata wanachange.Tunafanya observation from the past af ndo tunafanya judgement mkuu mwanamke msomi muajiliwa ni pasua kichwa.
Ushayakoroga 🤣🤣🤣🤣🤣Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Mkuu najua na kuzidi umri na experience katika hao wanawake, akiwa msomi mwenye kipato hata maneno yake yana choma, hawezi akawa amenunua mboga za nyama alafu ukimkosoa kwamba umepika vibaya unajua maneno atakae kurudishia.......... ???achana na kiumbe mwanamke kinapaswa kua nyumbani kulea watoto sio ofisiniAmini mkuu hiyo hulka ambayo ilijificha pengine hukuwahi iona from the scratch tena ipo hata kwa baadhi ya wanaume wapo wengine wakiwa hawana ni watulivu ila wakipata wanachange.
Sas unataka kusema kilichowabadilisha ni pesa au ni wameamua kuonyesha their nature?
Mkuu bado sanaaUshayakoroga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Speaking from experience tunaweza kuwa differ au sawa, binafsi nilikuwa na mahusiano na mdada ambae nilikutana nae tangu mm namaliza form 4 yeye yupo form 2 miaka mingi iliyopita nikaendelea advence to cut the long story short mpka sas uyo dada ana masters tena karud mwaka jana toka canada alipata scholarship lakin zaid ya miaka kumi hajawahi nivinjia heshima wala kunidisrespect tulikuwa kwny mahusian tangu akiwa bint kigori mpaka sas anamahusian mengine namm nina mengine lakn bdo kuna ile kuwasilana uyu dada alitokeaga kunielewa yeye na kuniapproach alianza yeye mpaka kesho uwa bado anaamini mm ndiyo mumewe.Mkuu najua na kuzidi umri na experience katika hao wanawake, akiwa msomi mwenye kipato hata maneno yake yana choma, hawezi akawa amenunua mboga za nyama alafu ukimkosoa kwamba umepika vibaya unajua maneno atakae kurudishia.......... ???achana na kiumbe mwanamke kinapaswa kua nyumbani kulea watoto sio ofisini
Sasa mkuu jifanye kumuoa ufunge ndoa, then ndo utajua her true colours 70% maisha ya wanawake ni pretence, utakuja kumgundua vizuri baada ya kuishi nae na kumpa mamlaka ya kua legal wife .Speaking from experience tunaweza kuwa differ au sawa, binafsi nilikuwa na mahusiano na mdada ambae nilikutana nae tangu mm namaliza form 4 yeye yupo form 2 miaka mingi iliyopita nikaendelea advence to cut the long story short mpka sas uyo dada ana masters tena karud mwaka jana toka canada alipata scholarship lakin zaid ya miaka kumi hajawahi nivinjia heshima wala kunidisrespect tulikuwa kwny mahusian tangu akiwa bint kigori mpaka sas anamahusian mengine namm nina mengine lakn bdo kuna ile kuwasilana uyu dada alitokeaga kunielewa yeye na kuniapproach alianza yeye mpaka kesho uwa bado anaamini mm ndiyo mumewe.
Inafikirisha sana hii ila una kitu utafika mbaliTulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Huu ni uongo extra wewe inabidi urudi kwenye kikao chetu haya ndio madhara ya kudoji vikaoSpeaking from experience tunaweza kuwa differ au sawa, binafsi nilikuwa na mahusiano na mdada ambae nilikutana nae tangu mm namaliza form 4 yeye yupo form 2 miaka mingi iliyopita nikaendelea advence to cut the long story short mpka sas uyo dada ana masters tena karud mwaka jana toka canada alipata scholarship lakin zaid ya miaka kumi hajawahi nivinjia heshima wala kunidisrespect tulikuwa kwny mahusian tangu akiwa bint kigori mpaka sas anamahusian mengine namm nina mengine lakn bdo kuna ile kuwasilana uyu dada alitokeaga kunielewa yeye na kuniapproach alianza yeye mpaka kesho uwa bado anaamini mm ndiyo mumewe.