Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

Ni bora nife bila fedha ila sirudii kuoa mke mwenye elimu ya degree na muajiriwa

Sasa mkuu jifanye kumuoa ufunge ndoa, then ndo utajua her true colours ahimsa 70% maisha ya wanawake ni pretence, utakuja kumgundua vizuri baada ya kuishi nae na kumpa mamlaka ya kua legal wife .
😂😂😂😂 Mkuu iko hivi by nature binadam yeyote aaminiki so the main point kukaa attention tu, uyu anaweza kuwa msubufu kwangu tena kwa kisasi coz mm ndiyo nilikuwa sababu yakuvunja mahusian mana nilimpachika mimba mwanamke mwengine so akajua aliumia sana tena saana mpaka kesho and wanawake wanasamehe lakni uwa hawasahau.
 
Very excellent mkuu siku akiwa mkeo hawezi kukuzidi akili kabisa, mtu anae ongonzwa na hisia atakuzidi je akili wewe unae ongonzwa na akili?
Sifa kuu mojawapo ya mwanamke bora ni MCHA MUNGU ...
Hii usiaaache kwenye vigezo vyako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu iko hivi by nature binadam yeyote aaminiki so the main point kukaa attention tu, uyu anaweza kuwa msubufu kwangu tena kwa kisasi coz mm ndiyo nilikuwa sababu yakuvunja mahusian mana nilimpachika mimba mwanamke mwengine so akajua aliumia sana tena saana mpaka kesho and wanawake wanasamehe lakni uwa hawasahau.
Sasa huyu anakulia timing siku utakae ingia kwenye fix yake .....ndo utajua kwanini Eva alivo kua na kikao na nyoka hakuleta marejesho ya kikao kwa Adam
 
Kwa observation yangu ndogo

Kuna watu wanapata wake bora kwa ajili yao ila si mama bora haswa kwenye kuwaongoza watoto katika njia ya kimafanikio

Na kuna wanaooa mama bora kwa watoto ila ni wake pasua kichwa

Na wachache sana wanaopata mke bora lakini pia ambaye ni mama bora.

Ninachomaanisha, hao wasomi wana exposure na uelewa wa dunia inapoelekea hivyo huwa na chance kubwa zaidi ya kuwaongoza watoto hata kama usipokuwepo. Wengine wa darasa la saba ambao ni submissive, wanaweza kuwasimamia watoto kimaadili zaidi ila kwingine huko itategemea spirit yake ya utafutaji

Ila ukioa darasa la nne C na mama wa nyumbani. Kula raha ya kuonekana mfalme ndani ya nyumba ila omba sana usije kufariki maana familia yako itaishia hapo maana mkeo hatokuwa na option nyingine zaidi ya kuolewa tena ili aishi mjini. Je, vipi kuhusu watoto wako mkuu?...

Hivyo unaweza tafuta msomi mwenye maadili maana wapo wengi tu kama vile ambavyo la pili C wapo wengi tu wamevurugwa.
Ishu ya kifo na je vipi mkifa wote Kaa mkupuo inakuwaje.
Since you can live in future hapo unafanyeje ama kinatokea nini kwa Wanao.
Ama unajua kifo kitakuchukua wewe first.
 
Kama wew umechoka unazan na yeye ajachoka m-bwa wew

Kizaz cha sasa tubadlke tujifunze stadi muhimu za kujitekelezea majukumu yetu kama
Kujiandalia msos
Kuosha sahau tuliyokulia chakula
Kujipakulia chakula
Kujifulia coz days Go will not be the part of marriage business
 
Nikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.

Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”

Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Pole
 
Mie ninaye la saba ana utii Kila kitu fresh Ila nahitaji wa degree ili nifanye adventure ya life hili.
I need a woman having bachelor degree Tena akiwa mchaga itapendeza mno.
Awe daktari ama engineer,or business finally lawyer nazipenda mno hizi professional
 
Back
Top Bottom