Kadri Ke anavyopata zaidi pesa, elimu, marafiki, umaarufu, vyeo ndivyo aanavyodhihirika kitabia ni yeye pekee ndiye aliyewahi kuongea na Shetani bustanini Eden.
Si kila siku Me hulalamika mitandaoni kuwa hawaoni pesa za Ke kabisa ktk ndoa zao kwa kujenga familia bora, pesa zao huenda wapi?
Poleni sana Marioo mliopumbazwa kulelewa na Ke kwa fedheha na masimango tele kisa six packs, u-handsome boy na mapenzi ya wafilipino ilihali nyuma ya pazia Ke huwaona sawa na mizukule tu.
Extrovert, Bush Doctor, Painkiller etc...njooni muokoe akina Juniors wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.