Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Mimi nimekuelewa sana tena sana yaan unajua sometimes naishia kuwaangalia tu hawa viumbeSasa mkuu jifanye kumuoa ufunge ndoa, then ndo utajua her true colours ahimsa 70% maisha ya wanawake ni pretence, utakuja kumgundua vizuri baada ya kuishi nae na kumpa mamlaka ya kua legal wife .
Mwanamke hata awe mkuu wa madaktari wote duniani hawezi kunizidi akiliMwanamke kama hakupendi,
Mwanamke kama kakuzidi Akili,
Yaani anaweza kuwa darasa la saba lakini UPEO wa akili yake ukawa Mkubwa kuliko wako. Lazima akusumbue
😂😂😂😂 Mkuu iko hivi by nature binadam yeyote aaminiki so the main point kukaa attention tu, uyu anaweza kuwa msubufu kwangu tena kwa kisasi coz mm ndiyo nilikuwa sababu yakuvunja mahusian mana nilimpachika mimba mwanamke mwengine so akajua aliumia sana tena saana mpaka kesho and wanawake wanasamehe lakni uwa hawasahau.Sasa mkuu jifanye kumuoa ufunge ndoa, then ndo utajua her true colours ahimsa 70% maisha ya wanawake ni pretence, utakuja kumgundua vizuri baada ya kuishi nae na kumpa mamlaka ya kua legal wife .
Very excellent mkuu siku akiwa mkeo hawezi kukuzidi akili kabisa, mtu anae ongonzwa na hisia atakuzidi je akili wewe unae ongonzwa na akili?Mwanamke hata awe mkuu wa madaktari wote duniani hawezi kunizidi akili
Sawa kama ni uongo amini unachoamini namim acha nimesema nachoelewa nakujua otherwise unataka nitunge.Huu ni uongo extra wewe inabidi urudi kwenye kikao chetu haya ndio madhara ya kudoji vikao
Sifa kuu mojawapo ya mwanamke bora ni MCHA MUNGU ...Very excellent mkuu siku akiwa mkeo hawezi kukuzidi akili kabisa, mtu anae ongonzwa na hisia atakuzidi je akili wewe unae ongonzwa na akili?
Sasa huyu anakulia timing siku utakae ingia kwenye fix yake .....ndo utajua kwanini Eva alivo kua na kikao na nyoka hakuleta marejesho ya kikao kwa Adam[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu iko hivi by nature binadam yeyote aaminiki so the main point kukaa attention tu, uyu anaweza kuwa msubufu kwangu tena kwa kisasi coz mm ndiyo nilikuwa sababu yakuvunja mahusian mana nilimpachika mimba mwanamke mwengine so akajua aliumia sana tena saana mpaka kesho and wanawake wanasamehe lakni uwa hawasahau.
Bado hajasemaNa bado.Mpaka uitike "labeka"!
Ishu ya kifo na je vipi mkifa wote Kaa mkupuo inakuwaje.Kwa observation yangu ndogo
Kuna watu wanapata wake bora kwa ajili yao ila si mama bora haswa kwenye kuwaongoza watoto katika njia ya kimafanikio
Na kuna wanaooa mama bora kwa watoto ila ni wake pasua kichwa
Na wachache sana wanaopata mke bora lakini pia ambaye ni mama bora.
Ninachomaanisha, hao wasomi wana exposure na uelewa wa dunia inapoelekea hivyo huwa na chance kubwa zaidi ya kuwaongoza watoto hata kama usipokuwepo. Wengine wa darasa la saba ambao ni submissive, wanaweza kuwasimamia watoto kimaadili zaidi ila kwingine huko itategemea spirit yake ya utafutaji
Ila ukioa darasa la nne C na mama wa nyumbani. Kula raha ya kuonekana mfalme ndani ya nyumba ila omba sana usije kufariki maana familia yako itaishia hapo maana mkeo hatokuwa na option nyingine zaidi ya kuolewa tena ili aishi mjini. Je, vipi kuhusu watoto wako mkuu?...
Hivyo unaweza tafuta msomi mwenye maadili maana wapo wengi tu kama vile ambavyo la pili C wapo wengi tu wamevurugwa.
Najua hilo ndiyo mana sikumpa tena nafasi mpaka kesho nampa distance sna.Sasa huyu anakulia timing siku utakae ingia kwenye fix yake .....ndo utajua kwanini Eva alivo kua na kikao na nyoka hakuleta marejesho ya kikao kwa Adam
Usidoji tena nimekwambiaSawa kama ni uongo amini unachoamini namim acha nimesema nachoelewa nakujua otherwise unataka nitunge.
Mkuu neno lako si sheria pita vile.Usidoji tena nimekwambia
PoleNikipata nafasi tena bora nioe mke wa darasa la saba au form four failure, mtiifu na mnyenyekevu kwa mume kuliko kuoa mke mwenye kazi yake wa degree.
Unatoka kazini umechoka unamuomba hata glass baridi ya juice upoze kidogo uchovu ila anakusontea na mdomo kwenye friji, nakukusindikiza na maneno haya: “huna mikono?”
Sasa hivi nimeanza kujua kwanini maraisi wa nchi za Africa wengi wake zao ni waalimu wa shule za msingi. Nilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake. Tulimuona kama kichaa kumbe akili alikuwa nazo.
Hiyo ni tabia binafsi ya mtu, mbona mimi naishi vizuri tu na FaizaFoxy na ni msomi, hivi nikifika nyumbani jioni hii nakuta juice baridi ipo kwa bedside tableNilikosoa sana professor moja wa chuo kikuu aliyedivorce mkewe ambaye ni Daktari na kuoa maid wake.
Unasikia wanachokipata wenzako huko Rombo?Tena akiwa mchaga itapendeza mno