Ni branch gani ya CRDB huwa inafunguliwa Jumapili?

Ni branch gani ya CRDB huwa inafunguliwa Jumapili?

wakuu heshima kwenu.
Naomba kufahamishwa kama kuna branch yoyote ya crdb bank ambayo ina operate jumapili kwa huduma za kawaida kama ilivyo siku zingine hapa jijin Dar es salaam, je ipo???
Ahsanten sana.
Tegeta- kibo complex, vijana branch, osterbay branch na Mliman city. Saa 4 mpaka saa 8 mchana.
 
Naandika mara ya mwisho, sitarudia tena. Taja nchi yoyote duniani ambayo imeendelea na watu wake wanafanya kazi saa chache, taja any in this world. Sheria za kazi Tanzania kwa wiki hutakiwi kufanya over 45 hours, Ujerumani nadhani ni saa 38 kwa wiki, kinacho tokea sasa, kwasababu ya ugumu wa maisha, mtu mmoja anaweza kua na ajira sehemu 2 au tatu; kwa bongo nadhani watu wa afya wapo kwenye mazingira hayo. Daktari anafanya kazi Muhimbuli but huyo huyo anapiga kazi Agha Khan na Hindu Mandal; ulaya hi ni kada nyingi tu.
''Cheap labour'' ndio inafanya kazi masaa mengi, kwa sababu anageuzwa kuwa mtambo.
Kama wewe unafanya kazi zaidi ya masaa 8, jua upo kwenye hilo kundi la 'cheap labour'​
 
Back
Top Bottom