Ni celebrity yupi wa kike hapa Bongo ana mafanikio ya kimaisha yasio na chembe ya mawaa ili mabinti wengine wamwige.

Lady jay dee hao wengine janja tyuu
Lady jaydee alifanikiwa enzi flani alipokuwa na mghahawa.. Ila nae alitaka kujionesha anaweza kudanga akapata mzungu masaki biashara yake ikafa.. Sikuhizi karudi nyumba yake ya kimara tena anatumia gari aina ya toyota ipsum toka range rover hadi ipsum.
 
Jack naenda shule wapi? Wabongo huwa tunawapaisha kuliko walivyo hawa celebs
Na mi nashangaa si kaishia form four yule tena kapata fa fa fa?

Sema ukikauliza kanakwambia kamemaliza A level na blah blah kibao!
 
Na mi nashangaa si kaishia form four yule tena kapata fa fa fa?

Sema ukikauliza kanakwambia kamemaliza A level na blah blah kibao!
Labda kiingereza na kujiweka kiwest kumemfanya ahisi ana shule
 
Picha ya dorice mollel tunaiomba sisi ambao hatujawahi kumuona.
Hana issue huyo. Ila wanasema anasaidia watoto wanaozaliwa njiti. Anafanya la maana, zaidi ya hapo hana jipya.
 
Kudanga sio kazi ndogo shoga angu...kwenda kunyonya mbupu za mzee zimenyauka hapana kwa kweli.. sema ukikosa option kwenye maisha unajilipua tu
mniwie radhi naishi Shinyanga karibu na Kolomije, kudanga ni msamiati mpya mjini? Kwa unyenyekevu mkubwa naomba maana yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…