Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Ni chakula gani ambacho ulikila unaridhika..

Ndio nini na nini sasa?
Hapo nimetaja kwa ujumla, sasa wewe angalia
1. Chakula halali(kimepatikana kwa njia ya halali na ni halali kutokana na Imani yako)
2. Chenye kirutubisho japo kimoja kinachohitajika mwilini mf. Protini, Wanga, Vitamini, Madini n.k
 
Napenda hii basi tu nimeshindwa funguka
Basi ntakuletea mzima kamilikamili...

cochon_de_lait_a_la_broche.jpg
 
Heshima kwenu wana jf

niende straight kwenye mada je ni chakula gani ambacho ukila una ridhika kabisa...??
Mm ni wali maharage yaani kwenye sherehe hua sikosi kama kuna hiki kitu wali maharage

wewe je unapenda chakula gani zaidi

pussy
 
Back
Top Bottom