Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali dagaa
Ongezea na peptang tomato au ketchup na mayonnaise kidogo.
Ugali dagaa[emoji39][emoji39]
Hapa tupo wote aiseeee.ugali dagaa
Ya kibabe sana hyo mkuu [emoji23][emoji23] acha kabsaWali maharage. Hii combination haijawahi niangusha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bonge la combination hili mkuu. Cku ukmjua mkuu nitag na me nijiunge ktk kumuwekea kumbukumbuSiku nikimgundua aliyegundua hiyo combo nitajitolea kumjengea sanamu la ukumbusho kabisa. Yaani kinafit sehemu zote iwe ni breakfast, lunch, supper au dinner.
[emoji23][emoji23][emoji23] Naona shangazi tupo pamojaWali maharage
We utakuwa wa kanda ya ziwa...usukuman hiv maana vyakula vya bibi hivyo msetoKande la njugumawe na ubwabwa
Na choroko ilopikwa pamoja na ubwabwa na ukishushia maziwa mtindi...
Ha ha ha haWe utakuwa wa kanda ya ziwa...usukuman hiv maana vyakula vya bibi hivyo mseto
Wapi hapo tujae chap😥Hii combination achana nayo kabsa! [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1474085
Dah, umenikumbusha kipindi flani tulikuwa tumepanga eneo fulani masela watano nyumba moja basi tukaamua tuwe tunapika msosi kwa pamoja.Hii combination achana nayo kabsa! [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1474085
Kabisa umbujeIwe ni ya kaya iwe