Chips..pizza..pilau..birianiπ
Ndio maana watu husema wali bila maharage ni uharibifu wa mcheleHii combination achana nayo kabsa! [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1474085
πππHii combination achana nayo kabsa! [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1474085
Kuna Restaurant moja huku nilipo wanapikaga machalari moja makini sana...machalari
Mwathu ndo nini we mbibi..?Harikaa, we' ni mwaathuu...!!???
Mwathu ndo nini we mbibi..?
Matusi Sasa haya..πWeshuuu, uthekumanya chathuu...!!