Ni chama kipi kwa sasa kati ya hivi itakuwa sehemu sahihi kwa Tundu Lissu na wapenda mabadiliko?

Ni chama kipi kwa sasa kati ya hivi itakuwa sehemu sahihi kwa Tundu Lissu na wapenda mabadiliko?

Ni chama kipi kati ya hivi itakuwa sehemu sahihi kwa Tundu Lissu na wapenda mabadiliko?

  • 1. Chama kipya

    Votes: 3 60.0%
  • 2. Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA)

    Votes: 1 20.0%
  • 3. United Democratic Party (UDP)

    Votes: 0 0.0%
  • 4. Sauti ya Umma (SAU)

    Votes: 0 0.0%
  • 5. Democratic Party (DP)

    Votes: 0 0.0%
  • 6. Demokrasia Makini (MAKINI)

    Votes: 0 0.0%
  • 7. Tanzania Labour Party (TLP)

    Votes: 1 20.0%
  • 8. African Democratic Alliance Party (ADA-TADEA)

    Votes: 0 0.0%
  • 9. Chama cha Kijamii (CCK)

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    5

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
images - 2024-12-22T164534.924.jpeg

Ni ukweli uliwazi kwamba Mbowe akishinda katika nafasi ya uenyekiti, CHADEMA haitakuwa na nguvu tena ya kupambania dola .

Hii ni kutokana na idadi kubwa ya wafuasi kuhitaji mabadiliko ambayo yanaonekana ni vigumu kuyapata CDM kwa sasa .

Hivyo kuna weza kuwa na haja ya kukipa chama kingine nguvu au kuunda chama kipya ili kuendeleza harakati za kisiasa . Toa maoni yako
 
CCM ndiyo nusura yake na kitulizo cha mahangaiko yake yasio na msaada.
vinginevyo mahangaiko yake dhaifu sana, mdomo na taama yataendelea kumuaibisha zaidi akifanya kinyume na ushauri huu :pulpTRAVOLTA:
 
Ni ukweli uliwazi kwamba Mbowe akishinda katika nafasi ya uenyekiti, CHADEMA haitakuwa na nguvu tena ya kupambania dola .

Hii ni kutokana na idadi kubwa ya wafuasi kuhitaji mabadiliko ambayo yanaonekana ni vigumu kuyapata CDM kwa sasa .

Hivyo kuna weza kuwa na haja ya kukipa chama kingine nguvu au kuunda chama kipya ili kuendeleza harakati za kisiasa . Toa maoni yako
 
Namba 5 vipi tena ahamie chama anachokihama. Yani utoke yanga uhamie yanga?
 
Back
Top Bottom