Yaani ukae mwaka mzima ndio ukaripoti? Kisa nje ya nchi?Nimepata dharula ambyo itanifanya niwe nje ya Tanzania kwa mwaka mzima.
Kwenda nje ya nchi haimaanishi maisha yanakuwa yamekunyookea, nikirudi utanipa hela ya mboga na kodi.Yaani ukae mwaka mzima ndio ukaripoti? Kisa nje ya nchi?
We endelea na mambo yako ya nje ya nchi usilete tamaa za kutaka huku na huku. Hebu waachie wenzio walio bongo na wasio na kazi wakafanye kazi hiyo.
Lakini hebu hata wewe jiulize, ingekuwa wewe ndio tamisemi ungefanya nini katika hii situation?
Nashukuru mkuu nimeisoma nimekutan na hicho kipengele kinachoelezea athari za kutokuripoti bila sababu ya msingi.Ndugu yangu usipofika kwenye kituo ulichopangiwa kazi kuna SHIDA kanzi data (data base) itakuja kukutoa kuomba kazi inayofanana na hiyo labda uje uombe kazi Nyingine tofauti na hiyo soma hii attachment yenye SHERIA ZOTE ZA UTUMISHI WA UMMA utaelewa ethari zake
Usitegemee kupangiwa kazi kwa levo hiyo tena.Nimekuj kwenu wana jf nisaidieni kunielewesha iwapo huta ripoti kazini(tamisemi) incase ukiwa umepata nafasi kuna changamoto yoyote utaipata mbeleni ukitaka kuomba ajira tena( Tamisemi).
Na kama ni ndio kuna taratibu za kufuata kuepekan na hizo changamoto?
Sijui ila nahisi mfumo utakuwa unakusoma kuwa huyu tayari alishapangiwa halmashauri x (kwahiyo arukwe)Nimekuj kwenu wana jf nisaidieni kunielewesha iwapo huta ripoti kazini(tamisemi) incase ukiwa umepata nafasi kuna changamoto yoyote utaipata mbeleni ukitaka kuomba ajira tena( Tamisemi).
Na kama ni ndio kuna taratibu za kufuata kuepekan na hizo changamoto?
Baki huko huko kama Kuna ulajiNimepata dharula ambyo itanifanya niwe nje ya Tanzania kwa mwaka mzima.
Acheni utoto na kuamini maneno ya mitandaoni kuwa halmashauri ni kubaya. Unataka kubaki daslam tu,jiulize hapo daslam kipi unacho cha maanaMm nashindwa kabisa kwenda kuripoti
Sasa kama unajua yote hayo kwann unatusumbua, si usiende huko nje ya nchi ukaripoti ulikopangiwaKwenda nje ya nchi haimaanishi maisha yanakuwa yamekunyookea, nikirudi utanipa hela ya mboga na kodi.
Kama ulivyoomba ajira,kwa nini usiwasiliane na mwajiri wako huyo umueleze kiofisi.Zingatia neno "kiofisi" ili uondoe shaka ya kukutana na vizingiti mbeleni.Nimepata dharula ambyo itanifanya niwe nje ya Tanzania kwa mwaka mzima.
Sana tu unaendelea kuwa mtumishi lkn mshahara ulipwi.Inawezekana hii??
Kama Una uwezo wa kukaa nje ya Tanzania mwaka mzima hizo ajira za TAMISEMA hazikufai. Hizo zinawafaa wasiojielewaNimepata dharula ambyo itanifanya niwe nje ya Tanzania kwa mwaka mzima.
Not more than three years muhimu kuwa intouch na afisa utumishi wako.Na hii likizo maximum ni muda gan? Na labda kama kuna probability yyt ya kukataliwa au kukubaliwa?