Ni chuo gani hapa Tanzania huwezi mshauri ndugu yako asome hata iweje?.

Ni chuo gani hapa Tanzania huwezi mshauri ndugu yako asome hata iweje?.

MUM, tuliopita pale vipi, mnawakumbuka makuraa?? Mtu unafuatiliwa mpaka mjini! Hawana adhabu ya onyo zaidi ya kufukuza!

Wapi mahakama ya kadhi?? Mungu anasamehe lakini wenyewe hawatoi msamaha! Mawazo ni kuwinda wafanya ngono!
 
Back
Top Bottom