Ni chuo gani hapa Tanzania huwezi mshauri ndugu yako asome hata iweje?.

Ni chuo gani hapa Tanzania huwezi mshauri ndugu yako asome hata iweje?.

UDSM kwenye ranks ya vyuo duniani na Afrika ndiyo nambari one kwa Tanzania.

Labda kama una maana watu wote wasiende shule kabisa, kama wewe ndugu?
Hizo umesema n ranks lakin n chuo ambacho kinatoa wataalamu wa GPA nzuri lakini kwenye placties hamna kitu na ni wa hivyo na wala rushwa
Hata waajiri siku hizi wanaliongelea hili swala
Lakini pia UDSM unakuta kuna mradi wa ujenzi, wanachofanya wanatangaza kandarasi kwenye makampuni wakati wana wasomi Engineering kabisa
 
Sio chuo tu namshauri mwanafunzi anaetaka kwenda kusoma nje ya nchi asiende kwa mtu anaeitwa TONNY KAMPUNI YA UNIVERSES ABROAD ni tapeli kuliko matapeli wote duniani
Watanzania bwana unajua kabisa vigezo huna alaf unataka ajent akupeleke chuo nje ukasome tena upate na udhamini. Tumieni akili kabla hamjaongozwa na migemko. Mkuu na division 4 yako ulitaka utafutiwe Hadi udhamini kweli unadhani ni rahisi?
 
Tabia ya wizi na ufisadi haifundishwi vyuoni. Wizi na ufisadi uko kwenye DNA za waafrika. Hapo ulipo wewe naye ni mwizi na fisadi. Labda kama hujapata sehemu ya ku practice.
Tatizo lako unafikiri kila mtu yupo kama wewe.
 
UDSM namba moja ya wapi wa tapeli?
Mojawapo ya ubora wa chuo hupimwa kwa idadi ya maprofessor heads wa departments na Proffessors wengi wafundishao

UDSM tutorial assistant wala hafundishi ni mfunga projector na msaidizi wa Proffessor aje kushusha nondo

Nenda vyuo vingine heads wa departments ni ma lecturer na Tutorial assistant ndio wenyewe

Mfano mzuri wa vyuo vibovu ni Muslimu University of Morogoro nenda kaangalie.Profile website za heads of departments sifa zao ni aibu
 
Kwa course za humanities siwezi mshauri mtu asome (Kiut)
ila kwa upande WA afya kiut is the best...
 
UDSM ya sasa ni chuo cha kata.
Unaota hakuna chuo kinachoongoza kutoa viongozi wa juu kitaifa na kimataifa ndani na nje hadi sasa kama UDSM kuanzia makamu wa Raisi,mawaziri ,wakuu wa taasisi,wakuu wa mikoa nk

Kwenye fani kali za digrii za sayansi na uchumi ndani ya nchi na kinataifa hakuna wa kukifikia kikifuatiwa na Chuo cha kilimo Sokoine University hao ndio mabingwa wawili wanaowika.ndani na kimataifa kwa wahitimu wake wenye fani za Science ukiondoa tiba

Labda ukisema chuo cha kama ni kwa madomo ya bla bla waliyosoma akina Generali ulimwengu ambayo dunia ya sasa hayahitajiki sana
 
Wakuu ni chuo gani uliwahi kusoma ila baada ya kuwa pale na kupita ukagundua ni heri ungegundua mapema usingelienda kusoma pale? 🤣
Dogo Elimu na mitaala isawasaidie kujitegemea

Vinginevyo majina ya vyuo ni upumbavu tu.
 
Unaota hakuna chuo kinachoongoza kutoa viongozi wa juu kitaifa na kimataifa ndani na nje hadi sasa kama UDSM kuanzia makamu wa Raisi,mawaziri ,wakuu wa taasisi,wakuu wa mikoa nk

Kwenye fani kali za digrii za sayansi na uchumi ndani ya nchi na kinataifa hakuna wa kukifikia kikifuatiwa na Chuo cha kilimo Sokoine University hao ndio mabingwa wawili wanaowika.ndani na kimataifa kwa wahitimu wake wenye fani za Science ukiondoa tiba

Labda ukisema chuo cha kama ni kwa madomo ya bla bla waliyosoma akina Generali ulimwengu ambayo dunia ya sasa hayahitajiki sana
Viongozi mafisadi sio?
 
Viongozi mafisadi sio?
Ungesoma UDSM ungejua uandikaje ila sababu hujasoma huko umesoma vyuo vya kata nskusamehe bure

Sema baadhi viongozi mafisadi

Weka neno baadhi kwenye hicho Ulichoandika kukupa credibility walau ya ulichoandika.Sio wote mafisadi sample yako.kubwa mno huwezi justify aliyekupa degree alikuwa hopeless ndio maana unachoandika hakina hadhi ya usomi kwa kukosa neno moja tu "Baadhi"
 
Directly, to the ignore list.

🤣🤣

IMG_20240826_213131.jpg
 
MUM, tuliopita pale vipi, mnawakumbuka makuraa?? Mtu unafuatiliwa mpaka mjini! Hawana adhabu ya onyo zaidi ya kufukuza!

Wapi mahakama ya kadhi?? Mungu anasamehe lakini wenyewe hawatoi msamaha! Mawazo ni kuwinda wafanya ngono!
Duuuh chuo gani hiki
 
Kwani mkuu ukitupimia sisi unatuonaje kama nchi? Tuko sawa kweli??

Yaani pamoja na Rasilimali zote hizi bado tunaishi kwa misaada na mikopo??

No wonder Prof. Kabudi alishukuru kutolewa Jalalani.
Kabudi profesa wa hovyo na macho yakE yani yuko serious akiongeza tukienda kwenye meza huko ya madaiano nao tunaangushwa profesa jalalani
 
Back
Top Bottom