UDSM namba moja ya wapi wa tapeli?
Utajulia wapi kama hujui index za vyuo duniani hata Africa zipo kwa rejea rasmi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UDSM namba moja ya wapi wa tapeli?
Unavijua vigszo vyote vya rank?UDSM kwenye ranks ya vyuo duniani na Afrika ndiyo nambari one kwa Tanzania.
Labda kama una maana watu wote wasiende shule kabisa, kama wewe ndugu?
Kwani mkuu ukitupimia sisi unatuonaje kama nchi? Tuko sawa kweli??
Yaani pamoja na Rasilimali zote hizi bado tunaishi kwa misaada na mikopo??
No wonder Prof. Kabudi alishukuru kutolewa Jalalani.
Akili ndogo! Chuo hakikubadilishii status ya maisha ila kinakutengenezea mwongozo wa kukabiliana na changamoto za kimaisha...kasome Havard PhD then uje hapa kuainisha mafanikio yakoWakuu ni chuo gani uliwahi kusoma ila baada ya kuwa pale na kupita ukagundua ni heri ungegundua mapema usingelienda kusoma pale? 🤣
Sasa kama Prof wa hicho chuo mwenye uhitimu wa juu kabisa anapaita jalalani sisi unataka tuseme nini kama si kukubaliana na mtaalam kuwa hapo ni jalalani??Tofautisha siasa ndugu? Hizi propaganda zenu na kina Dotto za sizitaki mbichi waambieni wajinga wajinga tu:
View attachment 3077734
Ninavijua ndiyo maana nikaandika. Wewe unavijua?Unavijua vigszo vyote vya rank?
Ficha ujinga basi,hiyo sio sekondari au primary,chuoni watu wazimaKwa hiyo ulitaka wakuache ujiuze?
Sasa kama Prof wa hicho chuo mwenye uhitimu wa juu kabisa anapaita jalalani sisi unataka tuseme nini kama si kukubaliana na mtaalam kuwa hapo ni jalalani??
SAwa profesa wa jalalaniNinavijua ndiyo maana nikaandika. Wewe unavijua?
Kwamba wasomi ni wajinga ila wajinga ndiyo werevu?
No wonder:
View attachment 3077735
Katika wasomi wa hovyo kabudi ni mmoja wapo...msomi wa makaratasi ila elimu yake haijamfanya aelimike ndo maana aliita sehemu iliyopmpatia maisha JALALANI.Ukiambiwa uonyeshe alipopaita jalalan, utaweza?
Kwani wewe unaweza kujilinganisha na Kabudi kama mwenyekiti wa chama chako kaamua kumpigia magoti akaokoe ngorongoro?
johnthebaptist hebu kumbusha nduguyo huyu aweke siasa pembeni, Kabudi siyo size yake.
Lissu anapambana na kina Kabudi kisiasa siyo usomi!
Ficheni ujinga wenu ndugu zangu!
Zawadini, wale jamaa zetu wameamka na zile ndoto uchwara zao tena.
Katika wasomi wa hovyo kabudi ni mmoja wapo...msomi wa makaratasi ila elimu yake haijamfanya aelimike ndo maana aliita sehemu iliyopmpatia maisha JALALANI.
Zama zetu pale Mlimani Wahandisi Walikuwa wanakiita Kitivo Cha Sheria " Jalala"Ukiambiwa uonyeshe alipopaita jalalan, utaweza?
Kwani wewe unaweza kujilinganisha na Kabudi kama mwenyekiti wa chama chako kaamua kumpigia magoti akaokoe ngorongoro?
johnthebaptist hebu kumbusha nduguyo huyu aweke siasa pembeni, Kabudi siyo size yake.
Lissu anapambana na kina Kabudi kisiasa siyo usomi!
Ficheni ujinga wenu ndugu zangu!
Zawadini, wale jamaa zetu wameamka na zile ndoto uchwara zao tena.
Zama zetu pale Mlimani Wahandisi Walikuwa wanakiita Kitivo Cha Sheria " Jalala"
Ni Kwa Sababu ya HGK na HGL 😂😂
SAwa profesa wa jalalani
Ukitoa kutoa mimacho na kumwaga mate hovyo kama nyoka huyo profesa njaa hana chochote cha maana. Magufuli tunashukuru sana kwa kuwavua nguo hawa maprofesa uchwara . Dakika ya 18 alimwita Jiwe "Mh Mungu" profesa asiyejiamini.Kabudi hajawahi kusema katoka jalani.
Neno jalala kaveshwa na Lissu, kisiasa.
Tambua Lissu hana neno dhidi ya Kabudi nje ya siasa.
Sembuse wewe na mimi ndugu yangu?
Ninakazia:
View attachment 3077745
Wewe unadhani Mwalimu Kabudi alikurupuka kusema katolewa " JALALANI"?Isije kuwa umechanganya jalala na ungwinini?
Ukitoa kutoa mimacho na kumwaga mate hovyo kama nyoka huyo profesa njaa hana chochote cha maana. Magufuli tunashukuru sana kwa kuwavua nguo hawa maprofesa uchwara . Dakika ya 18 alimwita Jiwe "Mh Mungu" profesa asiyejiamini.
View: https://www.youtube.com/live/vuVYPpmhZAI?si=K7sjIa_VOzlGdcR6
Hii ya pili anakiri ametolewa kwenye jalalani,
View: https://youtu.be/qJlbZO9DlaA?si=Wu4hVIEPaWuL4FgM
Ovyo kabsaa wakati wao hadi wanafiranaMUM, tuliopita pale vipi, mnawakumbuka makuraa?? Mtu unafuatiliwa mpaka mjini! Hawana adhabu ya onyo zaidi ya kufukuza!
Wapi mahakama ya kadhi?? Mungu anasamehe lakini wenyewe hawatoi msamaha! Mawazo ni kuwinda wafanya ngono!
Wakili msomi mh Panya wa Halima Mdee alishiriki ufunguaji Kesi Ya Ngorongoro 😄😄Unajua kwanini huyo jiwe unayemsifia hapa for your convenience, alimuhitaji Kabudi kwenye timu yake kama waziri?
Unajua kwanini Samia pamoja na kutompenda bado kamrejesha kwenye serikali?
Lissu, johnthebaptist, na wenye kuona beyond their noses wote wanajua isipokuwa ninyi.
Utake usitake, Kabudi anatatiza vilivyo jitihada za opponents akitia mguu popote kama wakili.
Kumchukia hakusaidii. Heri tu kujipanga kupambana naye.
Na ndiyo maana kina Lissu wanataka kujua aliyefungua kesi ya ngorongoro, kesi na hukumu siku hiyo hiyo; nani?!
Kwamba Iko namna, pana mchezo hapo!
Unadhani watayaweza wapiga nyungu au singida big stars hayo?