Ni chuo gani hapa Tanzania huwezi mshauri ndugu yako asome hata iweje?.

Ni chuo gani hapa Tanzania huwezi mshauri ndugu yako asome hata iweje?.

Hapo siyo kulaum vyuo...ila mibichwa ya watu wenyewe....
  • Jitu vivu kusoma
  • Linapenda ngono
  • Linapenda starehe
  • Linapenda kuangalia mijengo
  • Field anategea kwenda
Sasa wategemea chuo kimbadilishe mtu wa aina hiyo...
Hii ni kweli kabisa.

Nakiri kuwa miongoni mwa wanafunzi wa hivi, sometimes lecturers wanafanya kazi kubwa mno.
 
Ni kweli kabisa. Ila ilikuwa kama utani wa jadi tu kisa Eti sababu waliokimbia Masomo ya science huko Shule ya msingi na Secondary. Hivyo hawajui hesabu. Simple as that. ( Ila walipo maliza kozi zao huko kwenye mashirika ya umma na serikalini walikuwa mabosi zetu 🤣🤣)
 
Udsm pale hamna kitu.

Ni number one kwenye makaratasi ila ndio chungu cha kutoa wezi na kwa miaka yote hiyo sitini ndio wameshiriki kutufanya maskini mpaka sasa.
Chuo kipi hakitoi mafisadi na wezi mkuu tujuzaje
 
Isije kuwa umechanganya jalala na ungwinini?
Watu wengi hawajui kuwa udsm huko shule ya sheria na hata coss au cohu na hata udbs tulikua tunapaita jalalani coz ni college zinazochukua combinations zote kama hgl,hgk,hge,hkl,egm,eca,pcm na pcb..so huwa nawashangaa wanaopaita jalalani pasipokujua neno jalala limetoka wapi..
Kwa kuwasaidia huko coss,cohu sheria na hata udbs unaweza kupaita jalalani au ungwinini kama walikua hawajui.
 
Watu wengi hawajui kuwa udsm huko shule ya sheria na hata coss au cohu na hata udbs tulikua tunapaita jalalani coz ni college zinazochukua combinations zote kama hgl,hgk,hge,hkl,egm,eca,pcm na pcb..so huwa nawashangaa wanaopaita jalalani pasipokujua neno jalala limetoka wapi..
Kwa kuwasaidia huko coss,cohu sheria na hata udbs unaweza kupaita jalalani au ungwinini kama walikua hawajui.

Mbaya zaidi wako na chuki kweri kweri ambao hawakufuzu kuweka mguu UDSM.

UDSM si mzumbe, udom, must au saut huko!
 
Ni kweli kabisa. Ila ilikuwa kama utani wa jadi tu kisa Eti sababu waliokimbia Masomo ya science huko Shule ya msingi na Secondary. Hivyo hawajui hesabu. Simple as that. ( Ila walipo maliza kozi zao huko kwenye mashirika ya umma na serikalini walikuwa mabosi zetu 🤣🤣)
Paper tulikua tunaita nyanga?
Hizo terminology ukiwatajia wahitimu wa vyuo vingine lzm wahisi unawatukana.
 
Kwamba kumbe hujui hata muhas ni mzaliwa wa UDSM?

Kwa taarifa yako mpaka juzi yake asubuhi sikio halijawahi kuzidi kichwa!
Hilo nalo nila kujisifia kujua??

Vilaza wa UD bwana.
 
( Ila walipo maliza kozi zao huko kwenye mashirika ya umma na serikalini walikuwa mabosi zetu 🤣🤣)

Board room hawaingii wahandisi au wana sayansi ndugu.

Board room huko ndiko kunakopangwa mishahara na marupu rupu.

Angalia marupu rupu ya majaji huko ..

Bahati mbaya, ukweli huo mchungu hujulikana kwenye fainali.
 
MUM, tuliopita pale vipi, mnawakumbuka makuraa?? Mtu unafuatiliwa mpaka mjini! Hawana adhabu ya onyo zaidi ya kufukuza!

Wapi mahakama ya kadhi?? Mungu anasamehe lakini wenyewe hawatoi msamaha! Mawazo ni kuwinda wafanya ngono!
MUM ndio chuo gani aisee!? Kirefu cha MUM ni nini!?
 
MUM, tuliopita pale vipi, mnawakumbuka makuraa?? Mtu unafuatiliwa mpaka mjini! Hawana adhabu ya onyo zaidi ya kufukuza!

Wapi mahakama ya kadhi?? Mungu anasamehe lakini wenyewe hawatoi msamaha! Mawazo ni kuwinda wafanya ngono!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiki chuo au Secondary iliyochangamka? Lol
 
MUM
Theofilo Kisanji

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inategemea anataka kusoma Nini, lakini Bado tupo nyuma sana sema ni Kwa vile tunafarijiana tu.
 
Dogo hiyo ni satire
Huo mulinganisho wa harvard na kilimanjaro institute ukufukirisheeeee
Hakuna cha kusema satire, Watu humu mmezoea kuropoka tu...
Oooh,Elimu haina faida oooh,Kusoma Havard ni mbwembwe....
Wakati kwenye ukoo wenu hakuna hata mmoja aliyesoma Havard...
 
Mimi siwezi kumshauri mtu aende chuo kabisa unless kama anataka asome zile taaluma ambazo ziko regulated kama Sheria, uhasibu na udaktari.l, ukandarasi.

Ila fani zingine zote zipo YouTube na sites zingine
 
Udsm pale hamna kitu.

Ni number one kwenye makaratasi ila ndio chungu cha kutoa wezi na kwa miaka yote hiyo sitini ndio wameshiriki kutufanya maskini mpaka sasa.
Tabia ya wizi na ufisadi haifundishwi vyuoni. Wizi na ufisadi uko kwenye DNA za waafrika. Hapo ulipo wewe naye ni mwizi na fisadi. Labda kama hujapata sehemu ya ku practice.
 
Back
Top Bottom