Ni chuo gani hapa Tanzania huwezi mshauri ndugu yako asome hata iweje?.

MUM, tuliopita pale vipi, mnawakumbuka makuraa?? Mtu unafuatiliwa mpaka mjini! Hawana adhabu ya onyo zaidi ya kufukuza!

Wapi mahakama ya kadhi?? Mungu anasamehe lakini wenyewe hawatoi msamaha! Mawazo ni kuwinda wafanya ngono!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…