We hupendi kulamba asali laiyoni weweUDSM.
hiyo ndio kansa kwa Taifa hili.
Imetoa wataalam mafisadi wanatuibia mpaka leo.
Na wanasaidia kweli kupeana michongo.
Nimdkubali mimi ni mjingaHaya tena MALCOM LUMUMBA Leo wale nduguzo wana jina jipya.
Ama kweli:
View attachment 3077753
Kwa hakika itakuwa je vinginevyo?
Wewe unadhani Mwalimu Kabudi alikurupuka kusema katolewa " JALALANI"?
Nyakati hizo Vidume walikuwa akina Luhanga, Mwandosya nk 😂😂
Nimdkubali mimi ni mjinga
Hivi hapo ulipo ndio umejikomboa.biv?🤣🤣Hiyo ni hatua njema sana kuelekea kujikomboa
Hivi hapo ulipo ndio umejikomboa.biv?🤣🤣
Wakili msomi mh Panya wa Halima Mdee alishiriki ufunguaji Kesi Ya Ngorongoro 😄😄
Dotto alikuwa kiungo wa Utopolo FC 😂😂😂😂Ikumbukwe Kabudi hakusema katolewa jalalani, ila Lissu ndiye aliyekomelea msumari wa mwisho kitalumati.
Taaluma za hao ndugu zinawafunza maneno magumu ya kukomelea mwisho, kuliko hata kugongelea na nyundo.
Alisema kaokotwa kuonyesha amekuwa humbled.
Kumbe Mungu awape nini kama wabaya wako, ukimpa mwenyewe Messi mpira kihasara hasara kwenye 18 yako?
Ninakazia Kabudi na kina Lissu huko, siyo size ya wengi wetu wa aina ya kina Dotto Ruta Mokili!
Dotto alikuwa kiungo wa Utopolo FC 😂😂😂😂
Kitambo sana
Mtaitana wote ila haitasaidia.Haya tena MALCOM LUMUMBA Leo wale nduguzo wana jina jipya.
Ama kweli:
View attachment 3077753
Kwa hakika itakuwa je vinginevyo?
Mtaitana wote ila haitasaidia.
Sikuoneshi nakukumbusha tu kuwa hicho chuo ukiachana na kugundua ufisadi hakuna lolote la maana walilolifanyia nchi hii tukasema tuna watu.Ukiambiwa uonyeshe alipopaita jalalani, utaweza?
Kwani wewe unaweza kujilinganisha na Kabudi kama mwenyekiti wa chama chako kaamua kumpigia magoti akaokoe jahazi, ngorongoro?
johnthebaptist hebu kumbusha nduguyo huyu aweke siasa pembeni, Kabudi siyo size yake.
Lissu anapambana na kina Kabudi kisiasa, siyo usomi!
Ficheni ujinga wenu ndugu zangu!
Zawadini, wale jamaa zetu wameamka na zile ndoto uchwara zao tena.
Tutajie watu watatu waliosoma Havard ambao ni walala hoi....Hahaha hahaha
Wambieni malecturer wawafundishe kutafuta hela,,,huku mtaani heshima pesa
GPA na mbwembwe zingine sijui umesoma harvard,mara kilimanjaro institute hazina mashiko
Aya,wewe mwenye IQ kubwa,umeifanyia nini nchi yako...?Sikuoneshi nakukumbusha tu kuwa hicho chuo ukiachana na kugundua ufisadi hakuna lolote la maana walilolifanyia nchi hii tukasema tuna watu.
Ukiachana na Magufuli aliyepita hapo kwa bahati mbaya hakuna msomi mwingine yeyote wa hicho chuo ambaye sio fisadi.
Mimi nimefanya kazi na hawa watu nawajua sana.
Wana IQ ndogo halafu ni mafisadi na mabingwa wa majungu.
Wao ndio waasisi wa tabia zote mbovu tulizo nazo kwenye utumishi.
Huwezi kutana na graduate wa chuo kingine anayewekeza muda kwenye fitna na majungu kama wa UDSm.
Nadhani kwakua wamesoma kwa dhiki mno ndio maana hawajiamini na msingi wanaotegemea ni majungu.