Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

Hahahaa jus hahahaha

Kuna mwana simkumbk jina alipost uzi wake kuwa kuna manz anamsumbua anatka amuache ila awezi .....
Koment za wadau zaikaanza kushuka ss...mwana wa kwnza akamwbia futa nmba jamaa akasema siwez futa nmb nimeikariri hahahaha akatokea mwendewazimu huko alipotokea akamwambia "KATA KICHWA" hahahaha hii comment siwezi isahahu nikikumbuka nacheka mwnywe tu...nakumbuka nilikuwa nipo nakata gogo toi huku nasoma hii koment nilicheka mpka gogo likatoka haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni comment iliyonifurahisha sana kwenye uzi wa Majukumu ya usalama wa taifa wawapo kazini.
Mara unajikuta unamlinda raisi ambaye anaweza ghafla tu akaanza kutimua mbio.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂 😂 😂 ,kwa jinsi raisi wetu anavyopenda kujaribu kila kitu kuna siku watu watafukuzana na Subaru nakwambia.
bora mbio za miguu usiombe Mh raisi akaenda kuzindua mbio za magari then ajaribu kuliendesha lile lenye bi-turbo na nyie (walinzi) lazima ufungue turbo mguu kisogoni, mguu kwenye paji la uso hapo ndipo utagundua kuacha kazi si kazi bali kazi kutafuta kazi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ya kwako hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mada ilikuwa "wadada tuambie Ni mavazi gani ya wanaume wakivaa wanapendeza?"
Screenshot_20200326-195610.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna huu uzi wa Zero IQ unaosema "Siku hizi Wanaume ndio wanaolia Msibani".
Kuna comments mbili za Washkaji ziliniacha hoi sana.

1)"Mijanaume inalia mpaka inaangukia kwenye mabega ya warembo,huku imeachia makalio wazi pambafff sana" cc kichomiz

2)"Janaume linalia huku linatafuna kachori.Domo limelegea kama anabwia bwimbwi". Cc Moisemusajiografii
 
dah kwenye Uzi wa teegarden"sayari yenye uwezo wa viumbe allien kuishi" mtoa mada akasema anajua alien wanapatikana sehemu sio mbali na dunia ni nyuma tuu kidogo😱😱😱😱

mdau aka comment "hata Mimi nawashangaa wazungu wakati hapa bongo jamaa yetu anajua wanapopatikana"😭😭😭😭😭
 
Yule jamaa amevurugwa kweli.
Kuna uzi mmoja eti anaomba watu wa kujitolea kuwafanyia upasuaji ili aone kama ameiva baada ya kutazama video za youtube kwa miaka mitano zinazohusu namna ya kufanya upasuaji. Yaani udaktari wake kasomea youtube sasa anataka aingie field.
Yule jamaa ni mpuuzi kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ahhaahahha mtag aisee


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom