Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

Ni comment gani iliyowahi kukuchekesha kuliko zote humu JF?

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Screenshot_20200327-162003_1585318160390.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdau mmoja wa Magari alianzisha mada inahusu "Jinsi ya kuwasha gari kwa dharura pale betri ikiwa imegoma",katika maelezo yake akazungumzia kwamba unafunga kamba kwenye tairi then kuna maelezo yakaendelea..baada ya kumaliza sasa

Kama kawaida kuna jamaa akacoment "kwa sisi tunaotumia betri za sim unatusaidiaje?

Sasa jibu alilopewa hapo chini na mdau mmoja anajiita Ochumeraa huwa nikikumbuka mpaka leo nacheka sana[emoji23]
[emoji23][emoji23]da!
Screenshot_20200327-174604.jpeg
Screenshot_20200327-174624.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom