Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Huyu ni comedian haswa, kuna uzi kafungua eti kwanini hakuwa daktari akawa mtanesco[emoji134][emoji134]
Hivi anaposema mtanesco.. Ndiyo ana maanisha Fundi wa Tanesco au?Huyu ni comedian haswa, kuna uzi kafungua eti kwanini hakuwa daktari akawa mtanesco[emoji134][emoji134]
Mimi kuna siku nilijibizana naye kwenye uzi mmoja wa kutafuta mbwa wa kukodi nikaona chenga tupu.Huyu ni comedian haswa, kuna uzi kafungua eti kwanini hakuwa daktari akawa mtanesco[emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23]nahisi ndiyo huu huuHivi Ni huu ambao kuna jamaa anasafiri kwenda jombe sijui makambako,akaweka earphone masikioni ili akijamba yasisikike.
Kumbe hasikii mwenyewe.
Anageuka akaona kila mtu anamshangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sielewi mama[emoji23]Hivi anaposema mtanesco.. Ndiyo ana maanisha Fundi wa Tanesco au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanywe mbege bwana we!!
Nimeiweka konyagii..ni tamu balaaaKanywe mbege bwana we!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeiweka konyagii..ni tamu balaaa