[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uzi unauliza TO wa miaka ya nyuma wapo wapi na wana mafanikio kiasi gani? Jibu hilo dahView attachment 1402561
Yes On and Off. Harakati za maisha tu!!
Btw....,Nimekutafuta U were no where to be Seen!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alimsemea mbovu mwana JF matusi kama yote siku Mzee kaacha laptop mezani yeye kusogelea kakuta Mzee wake ndiye aliyekuwa anamtukana huku JF
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😆😀😆Kuna hiyo hapo moja.
Jamani almanusura niugue kwa kichekoView attachment 1400098
Sent using Jamii Forums mobile app
@baba swalehe eti siku hizi umekua?
Kule kuna Mh Mwenyekiti na Nd wajumbe.Mie mzima tu mama, hivi hilo jukwaa la chini ndiyo lipi aise?
Kuna ule uzi upo kwenye jukwaa pendwa kuhusu migegedo.
Sasa ulikuwa unahusu vitu gani vya kuchekesha mpenzi wako anongea kipindi mgegedo umekolea.
Kuna manzi mmoja alikuwa anamwambia jamaa " Naomba unitukanie kwa sauti Rais....fuli"
Jamaa alikuwa anapata wakati mgumu ukizingatia mzee baba hajaribiwi. Akawa anatukana tu kumridhisha manzi, "Wee ..... Fuli .... K... Mamko" [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii sisahau hata kuja kwa masiha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule kuna Mh Mwenyekiti na Nd wajumbe.
Hahaahaaaa.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechelewa kufahamu hilo!!Oohh nimebadili id tu mkuu ila mie nipo