financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Niliona hii comment aisee nilicheka sana,eti usipokua na hela hadi nywele zinajiotea bila adabu sehemu yoyote hadi puani ili ushindwe kupumua ujifie😀😀😀 jf sihamiii😀😀😀Sorry Kama ulichukia.
Kuna mmoja alinifrausha alisema ukiwa huna hela jua linakupiga mpaka linakwambia wewe fala usiponunua gari ntakupiga mpaka uwe wa njano. Na hizo nywele zinaota puani zitajaa mpaka ushindwe kupumua.
Watu wana masihara sana😀😀😀Teh teh, hii statement aliisemaga Joti.
Basi punguza kucheka kidogo mkuu.Mi leo kanichekesha huyu Member anaitwa Mla Bata. Kuna uzi wa jamaa anasema mke wangu akinuna na mimi nanuna basi jamaa akaandika
"Kama nawaona mnavyonuniana kama mtu na mke mwenza yani"
Basi nijikuta tu naangua kicheko. Mana ukifikiria mtu na mke mwenza wanavyonuniana au kupigana mijicho kwa hasira ndio nikabaki natafakari sijui ikiwa hivyo kunakuwa na hali gani humo ndani. 😅😅
😅😅Basi punguza kucheka kidogo mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah ila kweliMi leo kanichekesha huyu Member anaitwa Mla Bata. Kuna uzi wa jamaa anasema mke wangu akinuna na mimi nanuna basi jamaa akaandika
"Kama nawaona mnavyonuniana kama mtu na mke mwenza yani"
Basi nijikuta tu naangua kicheko. Mana ukifikiria mtu na mke mwenza wanavyonuniana au kupigana mijicho kwa hasira ndio nikabaki natafakari sijui ikiwa hivyo kunakuwa na hali gani humo ndani. [emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaKulikuwa na uzi kupata aibu baada ya kutoa hewa chafu, sasa mkuu mmoja katoka huku na kuingia uwani akijua yupo mwenyewe akajamba kwa sauti kubwa kumbe mama yake alikuwepo hapo yaani alisikia tu Jehovah Jehovah miwani ikishushwa juu pua na kumwambia kwa raha zako baba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna member aliwahi kupost anaulizia member flani yuko wapi mbona kapotea jukwaani, comment zilizofuatia ilikuwa vichekesho na masikitiko mixer.. Kuna wajinga wakamzushia kuwa hana masikio na kupotea kwake atakuwa hospitali wanayapachika[emoji3][emoji38][emoji3]
We mtoto jina na avatar yako navipendaga sn, vinapunguza njaa kwakweli.
Ayayayayaaa we mtoto kazi hazifanyiki huku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaa
kwenye Uzi wa mshana wa vituko kuna MTU ali comment
"bibi mmoja aliingia chooni akiomba asikutane na pepo mchafu ghafla akasikia sauti
KWA UCHI GANI Hebu kunya uondoke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81]
Ni yeye....Siyo Miss Natafuta kweli huyo?
Maana naye anacomment zake anazijuaga mwenyewe..
Sent using Jamii Forums mobile app