[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]NDEZIKuna uzi unasema kutuma meseji kimakosa, unaweza upasuke mbavu.
Kuna jamaa alikuwa amemsevu babake kwenye simu NDEZI
Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwenye Uzi wa mshana wa vituko kuna MTU ali comment
"bibi mmoja aliingia chooni akiomba asikutane na pepo mchafu ghafla akasikia sauti
KWA UCHI GANI Hebu kunya uondoke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daudi Mchambuzi kuna comment yake moja huwa hainitoki
Lumumba 20:10- ( sikumbuki vizuri hapa)
"Basi lumumba wakatoka hadharani na kujigaragaza mavumbini kama chatu huku wakisema ee Sizonje utupeleke utumwani "
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo joshua_ok ana vituko sana[emoji23]Ila pia nyuzi za @dmmkali na Joshua ok huwa wanachekesha sana
Kuna uzi joshua nadhani anasema anajuta kuhamia kagere unachekesha ule uZi asilimia mia comment zote mle zinaua mbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3]Sorry Kama ulichukia.
Kuna mmoja alinifrausha alisema ukiwa huna hela jua linakupiga mpaka linakwambia wewe fala usiponunua gari ntakupiga mpaka uwe wa njano. Na hizo nywele zinaota puani zitajaa mpaka ushindwe kupumua.
Mimi ningekufa kabisa sio kuzimiaKuna ile aliiandika jembe mmoja (Simkumbuki jina, ila comment yake imenifanya niwe makini sana kipindi cha kutumia MPESA);
"Tumbo la kuhara linaanzaje??? Ile unamlipia mwanao ada ya shule 2,000,000/=TSHS kwa kutumia M-PESA.
Ghafla unashangaa sms inaingia "NDUGU MTEJA Umepokea Dk 95,000,000 VODA kwenda VODA, Dk 65,000,000 kwenda Mitandao yote, GB 100,000, SMS bila kikomo. Tumia kifurushi hichi ndani ya Masaa 24"
Very intelligent. Vwry funny. In multiple ways.'Mi nadhani wangempotezea tu, kwani hakuna nakala nyingine ya hicho kitabu hapo Kilosa?'. Hii comment ilinichekesha sana, ilikuwa ni ya member mmoja hivi ID yake nimeisahau, akijaribu kuchangia maoni yake kuhusu yule jamaa wa Kilosa aliyechoma moto kitabu cha Quran.
Ahh asante kwa kuniona kwa hilo, mwanzo nilikuwa Natumia I'd ya mbaga Jr ila sasa natumia Ezekiel MbagaComments zote za Viatu vya samaki na Mbaga Jr ni sheedah dingii ariff.
Ahh asante kwa kuniona kwa hilo, mwanzo nilikuwa Natumia I'd ya mbaga Jr ila sasa natumia Ezekiel Mbaga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaah lolKuna jamaa hapa JF ila sikumbuki alikua nani,alisema yeye alikua anamkamua demu akawa demu yuko chini mwana yuko juu ila kila jamaa akikaribia kufika kileleni yule demu anamshika matako mchizi anampanua kuelekea feni inapopuliza upepo bao linapotea anaanza kazi upya,hahahah.