Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Edelyn hata mimi alikuwa ananikosha sana mkuu. Tena ukikuta anapambana na jamaa mmoja anaitwa Lizarazu basi ilikuwa patashika nguo kuchanika. Halafu akapotea ghafla. Labda alishaolewa na kuamua kuachana kabisa na mambo ya feminism [emoji16][emoji16][emoji16]Kuna dada mmoja anaitwa Edelyn
Sijui alipotelea wapi
Michango yake ya ki feminism ilikuwa inanichekesha sana
'Mi nadhani wangempotezea tu, kwani hakuna nakala nyingine ya hicho kitabu hapo Kilosa?'. Hii comment ilinichekesha sana, ilikuwa ni ya member mmoja hivi ID yake nimeisahau, akijaribu kuchangia maoni yake kuhusu yule jamaa wa Kilosa aliyechoma moto kitabu cha Quran.
kwenye Uzi wa mshana wa vituko kuna MTU ali comment
"bibi mmoja aliingia chooni akiomba asikutane na pepo mchafu ghafla akasikia sauti
KWA UCHI GANI Hebu kunya uondoke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81]
[emoji16][emoji16][emoji16]Naikumbuka'Mi nadhani wangempotezea tu, kwani hakuna nakala nyingine ya hicho kitabu hapo Kilosa?'. Hii comment ilinichekesha sana, ilikuwa ni ya member mmoja hivi ID yake nimeisahau, akijaribu kuchangia maoni yake kuhusu yule jamaa wa Kilosa aliyechoma moto kitabu cha Quran.
Edelyn hata mimi alikuwa ananikosha sana mkuu. Tena ukikuta anapambana na jamaa mmoja anaitwa Lizarazu basi ilikuwa patashika nguo kuchanika. Halafu akapotea ghafla. Labda alishaolewa na kuamua kuachana kabisa na mambo ya feminism [emoji16][emoji16][emoji16]
share it baby🙏🙏🙏
Kwakweli hizi comment nikiwa na stress nazisoma nacheka mpaka mwisho.
Cc CONTROLA, @linko.View attachment 1399958View attachment 1399959View attachment 1399960View attachment 1399961View attachment 1399962
Unazikumbuka ??
Ni nyingi mno Dear.. Kuna watu nikiona tu Comment zao hata kama ni uzi serious naanza kucheka.. Maana ni Vituko.
BTW mbona unabadili ID Dada yako sina taarifa..
Kila siku naiyona hii ID naishia kujiuliza ni nani huyu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hakukuwa na haja ya ku mind kwa vitu ambavyo vinaweza kuwa replaced.'Mi nadhani wangempotezea tu, kwani hakuna nakala nyingine ya hicho kitabu hapo Kilosa?'. Hii comment ilinichekesha sana, ilikuwa ni ya member mmoja hivi ID yake nimeisahau, akijaribu kuchangia maoni yake kuhusu yule jamaa wa Kilosa aliyechoma moto kitabu cha Quran.
Sawa Dogo.... Hope your doing well..Oohh sasa umeshanijua enh, hata sielewi dada basi tu mdogo wako naye mambo mengi. Ila nakuahidi sitabadili tena hii ndiyo ya mwisho, maana hata mods nao wameshanichoka.
HapanaMbona inaonesha kama umeshajua alipo ??
Unaweza kuta aliolewa na huyo huyo Lizarazu.Edelyn hata mimi alikuwa ananikosha sana mkuu. Tena ukikuta anapambana na jamaa mmoja anaitwa Lizarazu basi ilikuwa patashika nguo kuchanika. Halafu akapotea ghafla. Labda alishaolewa na kuamua kuachana kabisa na mambo ya feminism [emoji16][emoji16][emoji16]
Ila Jf hajapatikana tena mwanamke shupavu kama EdelynIla controla naye ana vituko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]