Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
CONTROLA huwa ananichekesha Mara nyingi SanaKwakweli hizi comment nikiwa na stress nazisoma nacheka mpaka mwisho.
Cc CONTROLA, @linko.View attachment 1399958View attachment 1399959View attachment 1399960View attachment 1399961View attachment 1399962
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].'Mi nadhani wangempotezea tu, kwani hakuna nakala nyingine ya hicho kitabu hapo Kilosa?'. Hii comment ilinichekesha sana, ilikuwa ni ya member mmoja hivi ID yake nimeisahau, akijaribu kuchangia maoni yake kuhusu yule jamaa wa Kilosa aliyechoma moto kitabu cha Quran.
Hii mi mwenyewe imenitengua mbavu. Ila kwa kweli huyo manzi alizingua na jamaa ilikuwa lazima amuache, huwezi kuishi na mwanamke wa aina hiyo...Yaani jitu haliogopi kabisa kuangalia mimuvi ya aina hiyo halafu mi ndo niishi nalo ili iweje?Kuna hiyo hapo moja.
Jamani almanusura niugue kwa kichekoView attachment 1400098
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Kuna hiyo hapo moja.
Jamani almanusura niugue kwa kichekoView attachment 1400098
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma comment za huyo linko,nimecheka hapa nakausha machozi.Kwakweli hizi comment nikiwa na stress nazisoma nacheka mpaka mwisho.
Cc CONTROLA, @linko.View attachment 1399958View attachment 1399959View attachment 1399960View attachment 1399961View attachment 1399962
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sijui nianze na ipi maana zipo nyingi.
Ngoja nirudi kwenye screenshots zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hiyo hapo moja.
Jamani almanusura niugue kwa kichekoView attachment 1400098
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Jana nilicheka Sana...atiii misukule Yani wewe[emoji28][emoji28] hongera kwa kuongeza siku za kuishi mkuu.