Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
π π π πAnaomba angalau kazi ya udaktari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Msela yule chenga sana nimeona uzi wake anataka kufanya upasuaji baada ya mafunzo ya YouTube.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jamaa anazingua chenga sana yule. Eti kazi hata ya udaktari tu.
Halafu kwenye comment anakomaa kwamba kuna ndugu yake mmoja ba mdogo wake alimuunganisha hadi sasa ni daktari.
Yule hapana amezidi ujinga atapigwa makofi badala ya kupiga hela.Jamaa ana kitu akikitambua atapiga sana pesa
Halafu sio mvivu wa kujibu maswali, anayajibu kwa utulivu sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Msela yule chenga sana nimeona uzi wake anataka kufanya upasuaji baada ya mafunzo ya YouTube.
Hahaha yeye mbwa wake alimezwa ila anataka akodi mbwa wa wengine wakiliwa azungumze na wenye mbwa [emoji16][emoji16][emoji16] JF sihami mimi.Halafu sio mvivu wa kujibu maswali, anayajibu kwa utulivu sana.
Kuna uzi mwingine, anaomba mbwa watatu wa kukodi ili wamkamate chatu anayekula mifugo yake. Na kama ikitokea mbwa wakamezwa na chatu inabidi yeye na mmiliki wa mbwa hao wakae mezani waone wanafanyaje.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu sio mvivu wa kujibu maswali, anayajibu kwa utulivu sana.
Kuna uzi mwingine, anaomba mbwa watatu wa kukodi ili wamkamate chatu anayekula mifugo yake. Na kama ikitokea mbwa wakamezwa na chatu inabidi yeye na mmiliki wa mbwa hao wakae mezani waone wanafanyaje.
πππππ
Natafuta mbwa watatu wa kukodi - JamiiForumsMkuu naomba niwekee link ya iyo thread hapa
[emoji16][emoji16] na yule aliyekuwa anampanga mwanamke waende wakakulane eti aliyekuwa anamdai kamlipa wakati kapewa ada halafu meseji ukaenda kwa mama
Sent using Jamii Forums mobile app
NdiyoAlly Salehe ndio alianzisha huo ujinga Twitter kufika Jf nikawa navunjika mbavu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh..Kuna watu hadi unajiuliza hawa uwa wanafikiria nn..Pia kuna kipindi zari kapiga double kuzaa watoto
Iceman 3D. Akakoment βserikali sasa iingilie kati wamfungie kizazi huyu mamaβ
Sijaipatia vile ila nilicheka sna
Kulikuwaga na Kigogo nae alikuwa balaa sijui kapoteleaga wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16] na yule aliyekuwa anampanga mwanamke waende wakakulane eti aliyekuwa anamdai kamlipa wakati kapewa ada halafu meseji ukaenda kwa mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ule uzi wa kula kimasihara, basi kuna jamaa kaopoa jimama wenzie wakaenda kumpigia chabo mama kuvua tu ile chupi inafunika meza kwa ukubwa... Wapiga chabo wakaanza kucheka jamaa akanyimwa mzigo
Uzi huo huo jamaa sijui walienda hotel gani mkoani huko wako wawili mida jioni mwenzake akamwambia twende Bar tukatafute wanawake, jamaa akasema amechoka hawezi kwenda, basi mmoja akatoka akaenda akaja na mwanamke wake, wakati anamtafuna uzalendo ukamshinda huyu aliyesema hawezi toka akajisogeza taratibu na kumnong'oneza jamaa yake amuachie na yeye jamaa kwa sauti akamjibu huku mwanamke akisikia wewe KMMK SI ULIKATAA KWENDA JITOMB... MWENYEWE MBWA WEWE,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha yeye mbwa wake alimezwa ila anataka akodi mbwa wa wengine wakiliwa azungumze na wenye mbwa [emoji16][emoji16][emoji16] JF sihami mimi.
Kwakweli hizi comment nikiwa na stress nazisoma nacheka mpaka mwisho.
Cc CONTROLA, @linko.View attachment 1399958View attachment 1399959View attachment 1399960View attachment 1399961View attachment 1399962
Mara nyingi sana hasa ninapocheka kupitilizaKumbe na wewe huwa unacheka hadi machozi kama mimi ??
Hatari tena ashukuru ilienda kwa mamahiyo iliniua halaf mama ikabidi akamlipie kabisa bank