Nigawie mm walinichapa Mfuko mzima wa IT equipments , external hard disc ya Terabit 1/na mazagazaga kibao to a May mganga ananiambia vitarudi subiriHao dawa yao IPO, wakiiba mbona watarudisha tena wakilia, dawa ya wezi ni kuwaroga tu Mimi huwa siendi police, iba uone
Dawa gani hiyo kiongozi? Mie wamekomba kila kitu sebuleni, nalilia TV yangu flat screen 38'' Hakika ningeijua dawa ya aina hiyo ningewalipua!
Daah!!!kuna jamaa yetu mwez uliopta alifanyiwa mchezo huo wakamchukulia lak mbili na cm yenye laki nane kweny tigopesa alipoamka kakuta vitu vimetimuliwa cm na pesa havipo bahat nzur pesa iliyokua kwenye cm aliipata ila baada ya cku nne akaanza kusumbuliwa na kichwa,bahat mbaya mwez huu amefarik hsptl ya muhimbili baada ya kugundulika ana KANSA YA UBONGO.
So Sad.
si amekuta haipoHuyu jamaa kajuaje kama walikunywa kwanza chai halafu ndo wakaanza kuiba?
Zuio n maji kwenye ndoo ndani ya chumba unacho lala. Au fuga mbwaSasa kama wanatumia hiyo dawa, nini kifanyike ili kuondoa usingizi?
Ikizidi waweza kulala hadi kufa?
Nini zuio?
Samahani sana, hunijui sikujui.Huyu nae MWIZI tu
Hayo maji yakipata hiyo dawa hayawezi kukudhuru ukiyatumia?Kiboko cha hy dawa ni maji weka ndoo za kutosha za maji kuanzia chooni hadi mvunguni kwa kitanda dawa ikipilulizwa inaenda kwny maji
Kwani jamaa anahusiana na ndumba?Una m cc: Mshana jr......kwani unadhani hizo dawa zinahusiana na ndumba.
Mavi ya pundaCc Mshana jr
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Una m cc: Mshana jr......kwani unadhani hizo dawa zinahusiana na ndumba.
100%Inawezekana wanatumia chlorofoam.
hahaaaa umenikumbusha miaka hiyo advance, msimamizi wa biology pract akaivuta maana ilikuwa inatumika kuwafanya panya wazimie wakati wa dissection,yule jamaa alilala hadi pepa inaishaIyo klolofom inakuwa kama perfume au ya unga? Then ina control kiru gani katika mwili mpaka unalala fofofo.
Salaam jf.
Nilikuwa naomba uzoefu wenu wana jf, hasa katika hizi dawa wa wanazotumia wezi kuwaibia raia wema kuwapulizia madirishani wakati wa usiku wanapolala, kwanza nilikuwa nataka kufahamu jina lake na pili wapi wanapozipata lengo si kwa ajiri ya matumizi binafsi lengo ni kufahamu. Sababu wizi wa kuvunjiwa milango na madirisha umekithiri kibaya zaidi wezi wanathubutu kuwaibia walala hoi hadi maafisa wa serikali wenye silaha, juzi kati mh. Fulani ambaye anacheo kikubwa tu serikalini alipigwa vitu vyake vyote sebureni na mwengine kasafishwa sebure yote na watoto wa mjini, akiwemo pia mwanajeshi mstaafu nae alivunjiwa nyumba na wezi kusafisha sebure lakini kabla ya kuiba wezi walikunywa chai iliyokuwa sebureni na kuondoka. Inavyooshesha hii dawa inawapa kiburi sana, usishangae hadi usalama huwa wanapigwa.
Wanalinga sana na hiyo dawa yao, yaani wakikupulizia unajikuta unaamshwa asubuhi saa mbili na majirani.