MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
kama wanatumia chloroform nakuomba nikupe kazi ukafanye tuprove kama ni yenyewe. Najua panya ukimpiga chloroform anapoteza faham pia, sasa wewe chukua huyo panya au chura mweke kwenye box kubwa kiasi kumtosha yeye na kikopo cha maji kikubwa cha kutosha kilichowazi kwa juu then funga box lako na puliza hiyo chloroform na baada ya muda ambao unatarajia kuwa panya/chura atakuwa usingizini fungua na tupe mrejesho kama utakuwa macho au usingizini.!
!
Wanatumia klorofom mkuu wanapuliza wewe ukiivuta kwishne