Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

!
!
Wanatumia klorofom mkuu wanapuliza wewe ukiivuta kwishne
kama wanatumia chloroform nakuomba nikupe kazi ukafanye tuprove kama ni yenyewe. Najua panya ukimpiga chloroform anapoteza faham pia, sasa wewe chukua huyo panya au chura mweke kwenye box kubwa kiasi kumtosha yeye na kikopo cha maji kikubwa cha kutosha kilichowazi kwa juu then funga box lako na puliza hiyo chloroform na baada ya muda ambao unatarajia kuwa panya/chura atakuwa usingizini fungua na tupe mrejesho kama utakuwa macho au usingizini.
 
Maji yanasaidia mi pia niliambiwa hivyo baada ya kuibiwa.
 
Thubutuuu wameniibia mara mbili Samsung inch 40 na mifeni yangu miwili ikiiunguruma ndani. Yaani siku hizi pamoja na kuweka mlinzi bado nikitaka kulala nabeba Tv naingiza chumbani. Maana kila nikinunua wanakuja kuchukua kama zao, ya pili waliifungua ukutani kabisa.
hah hah hah hah mkuu umetishaaaa
 
Hiyo ilitukuta morogoro mazimbu tulikuwa tumelala wanaume kama watatu mana chumba chetu kilikuwa kikubwa vitanda viwili vinatosha na ukitucheki tulikuwa mbavu balaa jamaa walizoa kila kitu visimu sony radio kubwa,tv samsung asubuh tunaamka mlango upo wazi tunashangaa nani alitoka hajafunga mlango kauacha wazi yani wanafungua mlango wote kuchak mali hazipo alooo hii kitu mbaya sana.
 
Mimi nashukuru waliniacha salama pamoja na wife na mtoto mdogo, ila walibeba mpaka nguo na walivunja mpaka mlango wa chumbani
Pole sana ndugu.nataka kujua ni maeneo gani hapa mjini ambapo hayo mambo yamekithiri.maana mi naishi uswahilini lakini huku sijawahi kusikia wizi wa dizaini hyo
 
Back
Top Bottom