Unamaanisha bibi gani?Namuomba Mungu akuweke mpaka baada ya uchaguz lkn amini Mungu kijitu chenu hakiwezi shinda urais wa nchi hii, labda wa TLS, hata marehemu bibi yako huko aliko anafahamu hilo. Usijiliwaze, mtasubir sana kwa siasa mnazofanya!!
Bibi yako mzaa babaUnamaanisha bibi gani?
Wejamaa unafikishaga Ujumbe ila code zako uwa ngumu sana ila wahuni tunazi hackHili la TAL kushinda urais wa JMT is possible but only if Watanzania tutakuwa wajinga kama Wamarekani!. Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?
Hivyo ili kuzuia
Watanzania tutsifanye
ujingaa kama ule wa
Wamarekani nimeshauri Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?
P
P nakupa heshima yako mkuu.. hahaha! Few will understand this!Hili la TAL kushinda urais wa JMT is possible but only if Watanzania tutakuwa wajinga kama Wamarekani!. Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?
Hivyo ili kuzuia
Watanzania tutsifanye
ujingaa kama ule wa
Wamarekani nimeshauri Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?
P