Pre GE2025 Ni dhahiri Lissu ndiye Rais ajaye wa JMT

Pre GE2025 Ni dhahiri Lissu ndiye Rais ajaye wa JMT

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Namuomba Mungu akuweke mpaka baada ya uchaguz lkn amini Mungu kijitu chenu hakiwezi shinda urais wa nchi hii, labda wa TLS, hata marehemu bibi yako huko aliko anafahamu hilo. Usijiliwaze, mtasubir sana kwa siasa mnazofanya!!
Unamaanisha bibi gani?
 
Wejamaa unafikishaga Ujumbe ila code zako uwa ngumu sana ila wahuni tunazi hack
 
P nakupa heshima yako mkuu.. hahaha! Few will understand this!
 
Mambo ya rohoni! Mtu ku survive zile risasi si mchezo..Ni mpango wa Mungu na Mungu atamfuta machozi TAL (2030)
IMG_20250122_152204.jpg
 
Back
Top Bottom