#COVID19 Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima

#COVID19 Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Habari za wakati huu

Katika awamu zote za korona hapa duniani Tanzania ilizivuka kwa kishindo huku ikimuomba Mungu na njia za kiasili kupambana na janga hili, hakika tulipambana vyema na vita ile tuliishinda.

Dalili zinazochukuliwa na serkali hii si njema sana kwa taifa hili ambalo lilikuwa na utaratibu wake katika kupambana waves mbalimbali za korona

Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima, ndio lockdown inakuja soon

Sisi Waafrika tunataaaabu kweli, wazungu wanaachana na lockdown sisi ndio kwanza tunaelekea huko..hali ya uchumi na maisha ya watanzania inaenda kudhorota
 
Kudemka ngoma za watu wa nje. Huko kwao ndio kwanza restrictions zinaanza kuondolewa. Hakika mama saima atapata wakati mgumu sana akifanya lockdown. Atajijengea chuki
Screenshot_20210622-205455.png
 
Habari za wakati huu

Katika awamu zote za korona hapa duniani Tanzania ilizivuka kwa kishindo huku ikimuomba Mungu na njia za kiasili kupambana na janga hili, hakika tulipambana vyema na vita ile tuliishinda.

Dalili zinazochukuliwa na serkali hii si njema sana kwa taifa hili ambalo lilikuwa na utaratibu wake katika kupambana waves mbalimbali za korona

Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima, ndio lockdown inakuja soon

Sisi Waafrika tunataaaabu kweli, wazungu wanaachana na lockdown sisi ndio kwanza tunaelekea huko..hali ya uchumi na maisha ya watanzania inaenda kudhorota
Huu mwandiko ni waprofesa kalamaganda kibudu macho kodoo
 
Nilitaka kulia baada ya kuona wananchi wa Uganda wanadai kujua ndugu wanaozikwa na serikali kwa kufa kwa Corona mbona hakuna familia iliyopata msiba?.

Baadaye wananchi wakapaniki kujua ni nani hao wanaozikwa!, Wakaanza kulazimisha kufungua majeneza kujua ni ndugu wa kina nani!.

Wakakuta olah, hakuna maiti wala ndg yake mifupa ni usanii tu wa Museven.

Hiyo tutaifikia tu huko mbele soon, maana kuna mtu kaandika hapo juuu, "Mla cha mwenzie lazima na chake kitaliwa".
 
Back
Top Bottom