#COVID19 Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima

#COVID19 Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima

Habari za wakati huu

Katika awamu zote za korona hapa duniani Tanzania ilizivuka kwa kishindo huku ikimuomba Mungu na njia za kiasili kupambana na janga hili, hakika tulipambana vyema na vita ile tuliishinda.

Dalili zinazochukuliwa na serkali hii si njema sana kwa taifa hili ambalo lilikuwa na utaratibu wake katika kupambana waves mbalimbali za korona

Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima, ndio lockdown inakuja soon

Sisi Waafrika tunataaaabu kweli, wazungu wanaachana na lockdown sisi ndio kwanza tunaelekea huko..hali ya uchumi na maisha ya watanzania inaenda kudhorota

Lock down ya nini? Tuchukue tahadhari na tupigwe chanjo.
 
Nilitaka kulia baada ya kuona wananchi wa Uganda wanadai kujua ndugu wanaozikwa na serikali kwa kufa kwa Corona mbona hakuna familia iliyopata msiba?.

Baadaye wananchi wakapaniki kujua ni nani hao wanaozikwa!, Wakaanza kulazimisha kufungua majeneza kujua ni ndugu wa kina nani!.

Wakakuta olah, hakuna maiti wala ndg yake mifupa ni usanii tu wa Museven.

Hiyo tutaifikia tu huko mbele soon, maana kuna mtu kaandika hapo juuu, "Mla cha mwenzie lazima na chake kitaliwa".
Mseveni mtu wa ovyo sana hizo fund anazopokea ili ku tackle hio pandemic ni kwa personal interest zake ila anatesa Whole country tena mpaka innocent Civilians, Mzee huyu anachekewa sana, Ni circle ndogo ndo inatafuna hizo funds
 
Mseveni mtu wa ovyo sana hizo fund anazopokea ili ku tackle hio pandemic ni kwa personal interest zake ila anatesa Whole country tena mpaka innocent Civilians, Mzee huyu anachekewa sana, Ni circle ndogo ndo inatafuna hizo funds
magufuli alishtuka toka mwanzo,kwamba wenzie hawamaanishi kweli kuiogopa corona,bali wana ajenda zao na hiyo corona.akagoma kuwa mnafiki.

ila sasa bimkubwa nayeye kakataa kupitwa na hizo deals.
 
Kuna ushahidi wowote kuhusu tetesi hizi?

Au tunapelekeshana kwa habari ambazo hazina hata chembe ya kuaminika?
 
Delila na genge lake wamekula pesa za wazungu sasa wanahaha namna ya kujitutumua kuonesha zinavyotumika.

Kama ni chanjo aanze kujidunga mwenyewe na hilo genge linalomzunguka.

Hatuwezi kuwa watumwa wa magonjwa bandia ya maigizo.

Tuko bize mno tunatafuta vipato na kutengeneza maisha.

Wasituvuruge kabisa na hayo machanjo yao yenye sumu.
 
Kama tukishindwa ku-enforce njia ambazo ni very basic za kujikinga na ugonjwa wa kuambukiza kama korona ambazo ni kuvaa barakoa hata ya kitambaa tu kupunguza cycle of transmission na njia za kunawa mikono na kutumia sanitizers, sioni kama tumejiandaa kwa hali mbaya zaidi (worst-case scenario).....
 
Habari za wakati huu

Katika awamu zote za korona hapa duniani Tanzania ilizivuka kwa kishindo huku ikimuomba Mungu na njia za kiasili kupambana na janga hili, hakika tulipambana vyema na vita ile tuliishinda.

Dalili zinazochukuliwa na serkali hii si njema sana kwa taifa hili ambalo lilikuwa na utaratibu wake katika kupambana waves mbalimbali za korona

Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima, ndio lockdown inakuja soon

Sisi Waafrika tunataaaabu kweli, wazungu wanaachana na lockdown sisi ndio kwanza tunaelekea huko..hali ya uchumi na maisha ya watanzania inaenda kudhorota

Hawajui madhara ya Lockdown, waacheni waonje ndo watajua lockdown haifai kabisa. Labda kama ni lockdown ya geresha hili kuchukua pesa ya Mabeberu.
 
Kama tukishindwa ku-enforce njia ambazo ni very basic za kujikinga na ugonjwa wa kuambukiza kama korona ambazo ni kuvaa barakoa hata ya kitambaa tu kupunguza cycle of transmission na njia za kunawa mikono na kutumia sanitizers, sioni kama tumejiandaa kwa hali mbaya zaidi (worst-case scenario).....
Acha wendawazimu wewe!

Transmission gani? eti transmission!! Kwa ugonjwa upi?

Mnapenda kukariri kariri hovyo hata msiyoyaelewa!

Hakuna cha transmission hapa. Umechanganyikiwa tu?
 
Huu ni usanii tusikubali mfano mzur ni hapo Uganda wanazika majeneza tupu
Ingia YouTube uone vituko
 
kwa nchi mbalimbali lockdown ya kwanza ilitumika kufungia watu ndani ili kutoa nafasi kwa wafungaji wa mitambo ya 5G ya internet. ukizingatia ndio inayodaiwa kuwa chanzo cha gonjwa hili. Utakuja kuona tz itaingia tatizo hili in deep mara tu baada ya kuistal au ku up-grade 5G internet. nchi zinazotuzunguka zina kiwango kikubwa cha maambukizi ni zenye 5G. ukitoka lockdown utaikuta 5G ishafungwa tayali. ndio utabroo mapigo. 5g ina mionzi mikali mara elfu kadhaa. ndio inaweza endesha hata magari bila dreva, doctor anaweza fanya oparation akiwa kwake, drones zinatumia hii pia na robots mbalimbali. so tunaponaje?.
 
Back
Top Bottom