#COVID19 Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima

#COVID19 Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima

Nani kasema atalockdown?

Acheni kuwalisha viongozi wa nchi maneno, hamna lockdown
 
Habari za wakati huu

Katika awamu zote za korona hapa duniani Tanzania ilizivuka kwa kishindo huku ikimuomba Mungu na njia za kiasili kupambana na janga hili, hakika tulipambana vyema na vita ile tuliishinda.

Dalili zinazochukuliwa na serkali hii si njema sana kwa taifa hili ambalo lilikuwa na utaratibu wake katika kupambana waves mbalimbali za korona

Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima, ndio lockdown inakuja soon

Sisi Waafrika tunataaaabu kweli, wazungu wanaachana na lockdown sisi ndio kwanza tunaelekea huko..hali ya uchumi na maisha ya watanzania inaenda kudhorota
wewe utakuwa ni mfuasi wa mwendazake
 
magufuli alishtuka toka mwanzo,kwamba wenzie hawamaanishi kweli kuiogopa corona,bali wana ajenda zao na hiyo corona.akagoma kuwa mnafiki.

ila sasa bimkubwa nayeye kakataa kupitwa na hizo deals.
naona unataka kumkwamisha mama
 
Sisi Waafrika tunataaaabu kweli, wazungu wanaachana na lockdown sisi ndio kwanza tunaelekea huko..hali ya uchumi na maisha ya watanzania inaenda kudhorota
Kwani lini hali ya uchumi na maisha ilikua nzuri? wacha uzushi wewe masalia ya mwenda zake
 
Habari za wakati huu

Katika awamu zote za korona hapa duniani Tanzania ilizivuka kwa kishindo huku ikimuomba Mungu na njia za kiasili kupambana na janga hili, hakika tulipambana vyema na vita ile tuliishinda.

Dalili zinazochukuliwa na serkali hii si njema sana kwa taifa hili ambalo lilikuwa na utaratibu wake katika kupambana waves mbalimbali za korona

Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima, ndio lockdown inakuja soon

Sisi Waafrika tunataaaabu kweli, wazungu wanaachana na lockdown sisi ndio kwanza tunaelekea huko..hali ya uchumi na maisha ya watanzania inaenda kudhorota
Acha wasiwasi na kutia hofu wenzako, lockdown nchi nzima ya nini?. Wewe fuata malekezo ya Wizara ya Afya kujikinga na Corona basi endelea na shughuli zako za kujipatia kipato.
 
Mseveni mtu wa ovyo sana hizo fund anazopokea ili ku tackle hio pandemic ni kwa personal interest zake ila anatesa Whole country tena mpaka innocent Civilians, Mzee huyu anachekewa sana, Ni circle ndogo ndo inatafuna hizo funds
Sijui na yeye ataenda zake lini.
 
Jabali wakati watu walikuwa wanateketea kwa corona ila hakuna data wala nini kutolewa. Vyombo vya habari vyote vilizibwa mdomo visiandike habari ya corona.

Hivi nyie watu akili zenu kwanini mlimkabidhi mtu aziendeshe?
Sasa hivi hawataketei? Corona imeisha? Data zinatolewa?
 
Ina maana huyu mama hajajua tu maisha ya watanzania yalivyo.

Ina maana hajui ukiwatia lock down itakuwaje?
Corona sio ugonjwa wa kuwafungia wwtu ndani. Hii sio dawa. Dawa ya korona ni chanjo

Na nyie msimzushie mama, wapi kasema kutakuwa na lock down mwacheni aendeleze kazi kwa staily yake.
 
Masalia ya Dhulmat yanaangaika sana wanajaribu kushawishi wananchi wamchukie kiongozi wao kila siku wanazusha uongo mpya.
Wewe ni taahira!

Mleta mada kaongelea habari ya dalili za selikali kutaka kufungia watu! Wewe unaleta habari za masalia, hivi huyo mtu hamuwezi kumsahau tu au mpaka mjifungue mimba zake alizowaachia?
 
Kumsahau Ibilisi kwamba ni kiongozi na mshawishi mkubwa wa kutenda maovu huko ni kujitafutia dhahama mbele ya Mwenyezi Mungu,hivyo haupaswi kumsahau Ibilisi wala hao wafuasi wake kina Firauni laanatullah.
Basi ukijifungua hiyo mimba yake utamsahau tu!
 
Watu wavae barakoa kwanza ndio walaumu na kuogopa lockdown. Utakuta mtu anapinga lockdown wakati hachukui hatua yoyote anataja covid isiwepo bila yeye kuchukua hatua yoyote!
 
Jabali wakati watu walikuwa wanateketea kwa corona ila hakuna data wala nini kutolewa. Vyombo vya habari vyote vilizibwa mdomo visiandike habari ya corona.

Hivi nyie watu akili zenu kwanini mlimkabidhi mtu aziendeshe?
Data ingetolewa watu ndio wangeokoka? Hivi hizo akili mmehamishia makalioni au? Zaidi ingeleta hali ya hofu na watu wangekufa zaidi kwa hofu
 
Data ingetolewa watu ndio wangeokoka? Hivi hizo akili mmehamishia makalioni au? Zaidi ingeleta hali ya hofu na watu wangekufa zaidi kwa hofu

Data hazisaidii ni kujazana hofu tu misiba huko mitaani kwetu ni kaaida sanaa ni kama zamani wimbi la tatu naona halina nguvu kikichachamaa ss wenyewe tutakuwa mashahidi cha msingi tuchukue tahayari .
 
Back
Top Bottom