Ni dhahiri Yanga inataka kuleta fujo kwenye soka la Tanzania, Ikemewe

Mimi nakuuliza kuhusu huyo Chama iwapo yuko huko Uturuki! Na wewe unaniuliza tena swali! Badala ya kujibu.
Swali lako halina Afya kwasababu lengo lake ni kuonesha "kuna tatizo kati ya Club na Chama" kwa kitendo hicho cha Chama kubaki Dar.

Mi nakuambia tu kuwa waliobaki ni wengi sio Chama peke yake.

Wengine wapo makwao hata hawajafika, wengine hata hawajatambukishwa.

So anza kuwafikiria na hao kwanini hawapo Uturuki
 
Mkuu kwani mmebomolewa?
Soka ni biashara. Kama Chama ameona anakoitwa kuna maslahi kwanini asiende? Muongezeeni Dau tu..!!
 
Mi mwenyewe sijui mkuu
Nasikia tu makolo wanashangilia kua wamempoka Yanga mchezaji
Huenda ikawa ni Fabrice Ngoma maana ndie aliekuwa na tetesi kuja kucheza bongo
Utopolo kafungiwa kusajili miaka mitatu
 
Ungewataja waliobaki wote
 
Kama Chama bado ana mkataba na Yanga wamemfuata direct huo ni Uzuzu. Ni Uzuzu Kwa sababu kanuni haziruhusu na ni uchokozi usio na faida lakini Una gharama ya kulipa kwao.
Wakati wa suala la Feisal na Azam nilisema na narudia kusema uhuni wa Aina Ile unatakiwa kukemewa.
 
Hivi wakati wa Fei Toto, we si ulifurahia hatari..!! Kula chuma hichoo..!!
 
Inategemea na vipengele vya mkataba vimesemaje
 
Sasa si mnatakiwa kupuuzia hiyo taarifa, kama Yanga haina uwezo wa kumsajili huyo Chama! Inakuwaje sasa mnapaniki?
Utopolo hawana cash sahizi za kumnunua chama utopolo yeye ni kuchukua wachezaji waliomaliza mkataba wa sekenke
 
Jipe moyo tu,chama hana mkataba na makolo
 
Inategemea na vipengele vya mkataba vimesemaje
Masharti ya Mkataba hayawezi kwenda nje ya kanuni za FIFA. Timu imsajili mchezaji June,2023 halafu mkataba useme muda wowote ukipata timu wewe nenda?
 
Sasa ni kosa Yanga kufanya hivyo? Mbn Feisal na Azam walifanya hivyo, ujinga ujinga wenu ndio huo unawafikisha hapo mlipo
Mkuu muangalie huyu alivyoongea kwa uchungu,kwa feisal ilikua aachiwe kwa ajili maisha yake ya baadae na familia yake,kwa mayele alidai akatafute changamoto nyingine kwa chama anadai aangalie mashabiki,hawa makolo akili hawana kabisa
 

Attachments

  • VID-20230713-WA0034.mp4
    19.1 MB
Masharti ya Mkataba hayawezi kwenda nje ya kanuni za FIFA. Timu imsajili mchezaji June,2023 halafu mkataba useme muda wowote ukipata timu wewe nenda?
Vipengele vya mkataba kwenye kuvunja mkataba ndio vinavyotoa hiyo haki.

Kumbuka FIFA nao wanatambua sheria za mikataba ambazo mchezaji na Club wamekubaliana.
 
Vipengele vya mkataba kwenye kuvunja mkataba ndio vinavyotoa hiyo haki.

Kumbuka FIFA nao wanatambua sheria za mikataba ambazo mchezaji na Club wamekubaliana.
Kwa hiyo kwenye mkataba wa Yanga na Fei FIFA walikuwa hawa tambui sheria za mchezaji na club.

Alicho kifanya Fei mlikuwa mnakifurahia (ngojea kwanza tu TBT thread za Fei) ,ila Chama anataka kufanya kama alicho kifanya Fei cha ajabu mnaanza kulalamika,japo jambo lenyewe ni tetesi.

Uhuni haukubariki haijalishi kama utatokea kwa Simba au Yanga.
 
Simba huwa hamjielewi kama viongozi wenu tu! Hii issue mbona inatolewa ufafanuzi na TFF zamani tu kwamba Yanga walishafabya malipo kama walivyoagizwa na FIFA ndani ya siku 45 tangu waachane na kocha wao! Shida ilikuwa kwenye system ya FIFA, wao walikuwa wanatumia e-mail kumbe FIFA ilishaachana na utaratibu huo kitambo! Kama wamefungiwa kusajili mbona wanatangaza wachezaji wapya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…